Kuna hate religious speech ya huyu anayejiita sheikh Mwaipopo ina trend hiko X (Tweeter), akihubiri Waislam watu wajenge chuki dhidi ya ukristo. Huyu anaipeleka nchi pabaya. Kuna wajinga watamsikiliza! Kama ametumwa na CCM, basi CCM mnachanga karata vibaya!
Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.
Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication
Huyu ni hatari, serikali, mamlaka husika mkemeeni.
Nape ame mute , ikiashiria ana baraka zake, directly, kama siyo hivyo basi by necessary implication