GE2025 Mwaifunga aahidi zahanati na barabara kwa wananchi wa kata ya Tumbi

GE2025 Mwaifunga aahidi zahanati na barabara kwa wananchi wa kata ya Tumbi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mgombea Ubunge Jimbo la Tabora mjini kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Hawa Mwaifunga akiwa katika mkutano wa Kampeni katika kata ya Tumbi leo Septemba 21,2025 amewaahidi Wananchi wa kata hiyo kukamilisha ujenzi wa Zahanati na ukarabati wa Barabara inayotoka Barabara kuu ya Urambo hadi Kijiji cha Itema.

Mwaifunga amesema kuwa yote hayo yatafanyika kwasababu tayari yameainishwa kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM ya Mwaka 2025/30 hivyo Wananchi wakichague Chama hicho ili waweze kutekeleza hayo.

 
Back
Top Bottom