Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Utalipa mzigo wa shinyanga? Lakini huenda mambo yakawa tofauti kwavile Singida kuna mamluki wenu mtaniSaa Moja aiseee.
Utalipa mzigo wa shinyanga? Lakini huenda mambo yakawa tofauti kwavile Singida kuna mamluki wenu mtaniSaa Moja aiseee.
Hahaaa. Mshaanza Mtani eti kuna Singida kuna mamluki wetu. Duuuh.Utalipa mzigo wa shinyanga? Lakini huenda mambo yakawa tofauti kwavile Singida kuna mamluki wanu mtani
Ndala pamoja na wao kubutua butua tangu miaka hiyo.. Sisi falsafa yetu ni gonga gonga ya pasi milioni kabla hatujacheka na nyavu zao.Haina shida. Wakati wao wakihangaika na counter kwetu ni pasi milioni halafu bao.
Ndo falsafa ya Simba sports club
Unashangaa mkuu? Hadi wachezaji waliwapa, beki mkakataa mkamchukua Fei Toto..ha ha ha haHahaaa. Mshaanza Mtani eti kuna Singida kuna mamluki wetu. Duuuh.
Mkuu leo nimeona nguvu ya muamala.. Ila jambo la msingi ni kua mbinu zao zimefeli kwa kiwango kikubwa.Huyu refa mpuuzi sana. Mwadui walidhamiria kuumiza vibaya kwa wachezaji wa Simba SC..!
Exactly mkuu. Hata kocha Mbelgiji alipofanyiwa Interview na akina Msola aliulizwa unaifahamu falsafa ya Simba? Akasema NaamNdala pamoja na wao kubutua butua tangu miaka hiyo.. Sisi falsafa yetu ni gonga gonga ya pasi milioni kabla hatujacheka na nyavu zao.
Alafu niwasaidie Ndala.. Aina ya soka letu, yule gwiji la soka toka uholanzi, Johan Cruyff aliiba toka kwetu, akaongeza maudambwi udambwi akaiita Total Football then akaipeleka Barcelona. Staili hiyo ndo leo wakina Messi wanatamba nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu.. Nadhani mtani Hajar ilimpita hii habari.. Ngoja nimpatie ajisomee mwenyewe;Unashangaa mkuu? Hadi wachezaji waliwapa, beki mkakataa mkamchukua Fei Toto..ha ha ha ha
Hahahaa izi taarifa nataka nipewe na vyura maana kama hawajui kilicho tokea yani wako bizeMwadui 1-3 Simba SC
Goli la mwadui lilikua la offside.
Wafungaji?Mwadui 1-3 Simba SC
Goli la mwadui lilikua la offside.
wenzenu wanaomboleza,Wakuu mnaendeleaje na kazi za utabiri huko mlipo?
Hahaha walikua wanamfananisha na yule dada yao makambo ngoja 30 ifike dadeki tumetoka kucheza kwenye visuguu tumempga mtu 3 sasa sipat pcha tukiingia pale stadiumHahaha.. Ndala sasa hivi wanajifanya wako bize na mechi yao dhidi ya 'tawi lao' Singida. Wafungaji ni.. Bocco 2, MK14 1.
Wakati huo huo la Mikia likiwa la penalty ya kupewa,mpaka sasa half time timu ya Wananchi 2 Walima alizeti 0 magoli yote yakifungwa na Amis Joselin TambweMwadui 1-3 Simba SC
Goli la mwadui lilikua la offside.