Vipi ushajua ligi ganiLigi ya kuogelea ama?
Mnaongoza ligi gani mkuu.Baada ya maafande wa JKT Tanzania kutulindia nafasi yetu kwa mda mrefu.. Hatimae Mnyama karejea kwenye nafasi yake (1).. Mpaka sasa msimamo wa ligi.. Simba SC anaongoza ligi.
Haya sasa laki si pesa na dada yako Hajar ligi ikiisha mda huu.. Nani atakua bingwa?
Kaheza + Salamba = Matheo AnthonyVyura wanashangilia bocco hatakuepo wanasahau kuna okwi, kaheza na salamba
Timu kama inaweza kuwapa wachezaji itashindwaje kuruhusu magoliWakati huo huo la Mikia likiwa la penalty ya kupewa,mpaka sasa half time timu ya Wananchi 2 Walima alizeti 0 magoli yote yakifungwa na Amis Joselin Tambwe
Nakukumbusha nyoni nae bado yupoKaheza + Salamba = Matheo Anthony
Eti Nyoni naye ni mchezaji wa kulingia..Nakukumbusha nyoni nae bado yupo
Nakukumbusha anaweza akakufunga kama alivyokufunguka last timeEti Nyoni naye ni mchezaji wa kulingia..
Umenivunja mbavu aisee!!
Just Last Time.....?Nakukumbusha anaweza akakufunga kama alivyokufunguka last time
But hainishangazi lakini.Nakukumbusha anaweza akakufunga kama alivyokufunguka last time
Aliyekuwa anawekwa bench na Mlipili ?Vipi kuhusu Juko Murshid?
Samatta naye Mchezaji....?Ndio Mkuu.. Namzungumzia Juko aliyemuweka mfukoni, mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea nchini.. Samata.
Tanzania raha sana... kwahiyo Samatta anasubiri sana kwa Lunyamila, sio?Samatta naye Mchezaji....?
Waulize waganda.....Hawajawahi kuwa na mchezaji wa kumuweka mfukoni Lunyamila.
Umesahau ilo.
Mmh. Maneno hayo angetamka Nchemba mwenyewe angalaau ningekuelewa Mtani nje ya hapo hii ni habari ya udaku kama zilivyo habari nyingine za udaku. 😂😂Mkuu.. Nadhani mtani Hajar ilimpita hii habari.. Ngoja nimpatie ajisomee mwenyewe;
Mwigulu Nchemba awapa Yanga wachezaji wa Singida Utd
Hawajatupa bana. Wacha ung'ang'anizi.Hahaha.. Kwahiyo unakana Singida united haijawapa Feisal?
Kwa hiyo unafahamu kuwa Mlipili yupoAliyekuwa anawekwa bench na Mlipili ?
Au kuna juurko mwingine?
Na kweli mkuu, ile penalty iliwachanganya sana Mwadui, ulijuaje?Simba 3 - Mwadui - 1 Simba Watapewa penaiti ambayo itawachanganya Mwadui