Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akutana na Rais Kikwete

Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akutana na Rais Kikwete

MwanaDiwani

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2013
Posts
5,536
Reaction score
2,268

Rais Dkt Jakaya Mrisho kikwete akimlaki Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, aliyekwenda kumjulia hali na kumpa pole Ikulu jijini Dar es salaam, Desemba 23, 2014





Rais Dkt Jakaya Mrisho kikwete akimsindikiza Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo baada ya maongezi ya faragha.
 

Rais Dkt Jakaya Mrisho kikwete akimlaki Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, aliyekwenda kumjulia hali na kumpa pole Ikulu jijini Dar es salaam, Desemba 23, 2014





Rais Dkt Jakaya Mrisho kikwete akimsindikiza Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo baada ya maongezi ya faragha.


View attachment 213660 j7.jpg
 
Huenda wameongelea chenji ya maaskofu waliopewa mgawo na Ruge?
 
Chaguo la Mungu a.k.a Mkombozi bank, no I mean Mkombozi.
 
Huyu kadinari wa Mkombozi bank katuaibisha Sana waamini, na timing ya kukutana na JK won't help
 
Hakuna maongezi zaidi ya kumwambia JK asikomalie benki yetu ya Mkombozi Bank.
 
Ameenda kupeleka ilani ya uchaguzi na kikwete nakusihi wembe ni uleule kama 2010 waamie cahadema tena maana kule waneona mchuzi umeingia mende wanarudi tena ccm.Asiyetaka anye boga
 
Kaenda kuchukua nayeye fungulake nini kama askofu kigumu aka kilaini
 
Picha yapili anaambiwa we utakula mil 80 bana uwwzipatakama kilain
 
Tunataka kauli pengo! Vp kuhusu msaidizi wako kuhusika katika hili?
 

Rais Dkt Jakaya Mrisho kikwete akimlaki Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, aliyekwenda kumjulia hali na kumpa pole Ikulu jijini Dar es salaam, Desemba 23, 2014





Rais Dkt Jakaya Mrisho kikwete akimsindikiza Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo baada ya maongezi ya faragha.

Tunashukuru kwa picha plain mkuu.
 
KIongozi wa kidini akienda kumwona kiongozi mkuu wa nchi tatizo liko wapi. Watanzania tumekuwa kama mtu aliyeumwa na nyoka ambaye baada ya hapo kila kitakachomgusa anahisi ni nyoka. Mtu yeyote mwenye hofu ya uwepo wa Mwenyezi Mungu moyoni mwake akipata bahati ya kutembelewa na kiongozi wa ngazi ya juu wa kiroho kutoka dini yeyote ile anapata faraja na amani ya kweli moyoni mwake na hicho ndicho ninachokiona nikimuangalia Rais Kikwete anapofuatana na Kardinali Pengo pale Ikulu.
 
1. Eti ameenda kumpa pole rahisi!? Pole anapewa leo baada ya kupona?

2. Ukizingatia hali ya sasa ya taharuki nchini kuhusiana na skendo ya fedha za umma "zilizochotwa" toka katika acount ya escrow iliyokuwa BOT na kupitishwa katika benk ya Stanbic na Mkombozi inayomilikwa na hilo kanisa analoliongoza huyo askofu, je pamoja na kupeana hiyo pole hawakuzungumza chochote kuhusiana na hii skendo?

3. Eti ni kwanini huyo askofu kama kiongozi wa watu na hata huyo rahisi hawakutaka awepo mtu mwingine yeyote zaidi ya mlizi na mpiga picha wa rahisi? Ni ili asijevujisha siri ya pole aliyopewa rahisi na kiongozi wa kanisa linalomiliki benki ilikopitishwa fedha iliyochotwa BOT!?
 
Back
Top Bottom