Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akutana na Rais Kikwete

Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo akutana na Rais Kikwete

nimeongea na kilaini alishanituma nirudishe hiyo fedha hata sasaivi ipo ila nashukuru umeitakasa kuwa haina mawaa sasa tutaitumia katika taasisi zetu za elimu asante sana chaguo la mungu
 
Duuh ni shida kumjulia hali au kuna mengine tena

Watanzania! Kweli binti wa Tibaijuka alisema- kila kitu tunajua!
Huyu ni kiongozi muhimu sana kila mtu anajua sioni tabu kumjulia hali Rais na kumpa update za ujio wa Pope Francis.
 
Mh kavaasuti ya aina moja tangu jana akina nassib walipoenda na leo, same suit
 
Mh kavaasuti ya aina moja tangu jana akina nassib walipoenda na leo, same suit

Ndugu,
Ungesona maelezo yote naamini usipoteza hata muda wa kujenga hoja wakati majibu yako kwenye bandiko.

Huzioni hizo tarehe kwenye bandiko #1

By the way, kwani ni mshangao/kosa kuvaa nguo hiyo hiyo kwa zaidi ya siku moja?
 
sioni tabu kumjulia hali Rais na kumpa update za ujio wa Pope Francis.
Hata mimi sipingi mtu kujuliwa hali, tatizo ni kwamba, sijawahi kumuona Jakaya Kikwete kapigwa picha Ikulu anapitia karatasi la kikazi! Au anafanya mkutano wa kikazi na aids wake. Au anafikiria jambo au anafanya press conference kujibu maswali ya issue za nchi. Yeye ni vishughuli na wageni, vishughuli na wageni, vishughuli na wageni. Wageni wenyewe Diamond au Hashimu na Mama yake, na vishughuli vyenyewe Ikulu ni vikao vya futari au kusalimiwa na Maaskofu wenye mabenki ya ku launder mahela ya wizi.

Huyu mtu labda hana hata dawati la kazi. Nani amewahi kuliona presidential desk la JK?
 
Hakuna maongezi zaidi ya kumwambia JK asikomalie benki yetu ya Mkombozi Bank.

Huyu kadinari wa Mkombozi bank katuaibisha Sana waamini, na timing ya kukutana na JK won't help

Chaguo la Mungu a.k.a Mkombozi bank, no I mean Mkombozi.

MKOMBOZI BANK at Work au?

1. Eti ameenda kumpa pole rahisi!? Pole anapewa leo baada ya kupona?

2. Ukizingatia hali ya sasa ya taharuki nchini kuhusiana na skendo ya fedha za umma "zilizochotwa" toka katika acount ya escrow iliyokuwa BOT na kupitishwa katika benk ya Stanbic na Mkombozi inayomilikwa na hilo kanisa analoliongoza huyo askofu, je pamoja na kupeana hiyo pole hawakuzungumza chochote kuhusiana na hii skendo?

3. Eti ni kwanini huyo askofu kama kiongozi wa watu na hata huyo rahisi hawakutaka awepo mtu mwingine yeyote zaidi ya mlizi na mpiga picha wa rahisi? Ni ili asijevujisha siri ya pole aliyopewa rahisi na kiongozi wa kanisa linalomiliki benki ilikopitishwa fedha iliyochotwa BOT!?

Kweli watu mna akili fupi sana. Ndiyo maana mnaishia kulalamika tu maamuzi yakitolewa kwa sababu hampendi kuutafuta ukweli. Mmejawa kuendekeza hisia na masimulizi kuliko kujikita kutafuta ukweli. Mkombozi bank si kama Efatha Bank, Pengo hawezi kuwa na maamuzi juu ya benki ya Mkombozi. Tukitaka kuwa wakweli ni vyema tukajikita kwenye kutafuta ushahidi wa yale tunayoyafikiria. Lakini kuzigeuza hisia eti ziwe ndio ukweli tutakuwa tunajidanganya sana.
 
Hata mimi sipingi mtu kujuliwa hali, tatizo ni kwamba, sijawahi kumuona Jakaya Kikwete kapigwa picha Ikulu anapitia karatasi la kikazi! Au anafanya mkutano wa kikazi na aids wake. Au anafikiria jambo au anafanya press conference kujibu maswali ya issue za nchi. Yeye ni vishughuli na wageni, vishughuli na wageni, vishughuli na wageni. Wageni wenyewe Diamond au Hashimu na Mama yake, na vishughuli vyenyewe Ikulu ni vikao vya futari au kusalimiwa na Maaskofu wenye mabenki ya ku launder mahela ya wizi.

Huyu mtu labda hana hata dawati la kazi. Nani amewahi kuliona presidential desk la JK?
Tatizo akili huna ndiyo maana unazungumza hayo kwani kila siku unakuwepo ikulu haya hapa alikuwa anafanya nini.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    22.8 KB · Views: 368
Hata mimi sipingi mtu kujuliwa hali, tatizo ni kwamba, sijawahi kumuona Jakaya Kikwete kapigwa picha Ikulu anapitia karatasi la kikazi! Au anafanya mkutano wa kikazi na aids wake. Au anafikiria jambo au anafanya press conference kujibu maswali ya issue za nchi. Yeye ni vishughuli na wageni, vishughuli na wageni, vishughuli na wageni. Wageni wenyewe Diamond au Hashimu na Mama yake, na vishughuli vyenyewe Ikulu ni vikao vya futari au kusalimiwa na Maaskofu wenye mabenki ya ku launder mahela ya wizi.

Huyu mtu labda hana hata dawati la kazi. Nani amewahi kuliona presidential desk la JK?

Ndugu,
Hii ni hoja muflishi kwa watu wenye upeo mpevu.

Unataka uone picha ili iweje?.

Unadhani picha ndiyo itakueleza kama anafanya kazi.

Anyway, acha niongee lugha ya picha unayoifahamu katika fikra na mtazamo wako

8E9U5018.jpg

Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kazini ofisini kwake ikulu jijini Dar es Salaam
 
Tusiwe na mawazo potofu, Tukumbuke kuwa kadinali Pengo ni mkuu wa kanisa katoliki Tanzania.Linapotokea suala zito kama hili la Escrow ambalo limewahusisha baadhi ya maaskofu ambao yeye anawasimamia,yeye vilevile anastahili kuwa na taarifa yenye mashiko kwa ajili ya maamuzi,pamoja na kumjulia hali Rais hayo yamegusiwa vilevile.Tujue kabisa kuwa kanisa katoliki halina tabia ya kukurupuka linafanya tafakuri ya kina ktk jambo lolote.kiserikali katika maadili ya Utumishi wa Umma ni kosa kupokea fedha ya kiwango hicho,sijui kwa kanisa kama ni ruksa kwa viongozi kama maaskofu au mapadre kupokea fedha za kiwango hicho kwenye akaunti zao.Tuwe na subira tusubiri tutajua.
 
Mbona suruali inampwaya sana Mkulu jamani, kunani?
 
Back
Top Bottom