Ruyagwa ni jina la kati la Zitto kabweAnamwachia Nani sasa maana yeye si ndo alishinda kura za maoni mbele ya abdul
Dogo kwema? Antony Elanga kanunuliwa na Newcastle united kutoka Nottingham forest.Mwamba mambo yanambadilikia katika kiwango hawezi amini. Taarifa za uhakika kabisa amemkimbia Clayton Chiponda pale mwisho wa Reli. Hebu fikiria hilo anguko, yaani Ruyagwa anasepa kisa Baba Levo!