Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,233
MTU NI UTU NA SIYO KILA MTU ANA UTU.
NIMEONA VIDEO KWENYE UKURASA WA DADA MANGE KIMAMBI.
NInapotizama video hizi za ndugu zetu walio uwawa na kulundikwa mithili ya Mikungu ya Ndizi kutokana na maandamano ya tarehe 29 oktoba 2025 Inahitaji moyo wa kishetani kuzungumzia maridhiano kabla ya Ukweli ,Haki na Uwajibikaji.
Sijawahi Amini kwamba katika Taifa letu tunaweza tukawa na Majitu katili kiasi hiki katika mfumo wa utumishi wa Umma.Mungu Awalaani kabisa kila mmoja hadi kizazi chake cha 4.
HUU NI UHALIFU MKUBWA SANA NA HAUTAKIWI KUONEWA AIBU.ALIYE PANGA ,ALIYERATIBU NA ALIYETEKELEZA LAZIMA KWANZA WAWAJIBIKE KILA MMOJA KWA KADIRI YA MATENDO YAKE.
UNYAMA HUU HAUVUMILIKI
BAK MWABUKUSI.
NIMEONA VIDEO KWENYE UKURASA WA DADA MANGE KIMAMBI.
NInapotizama video hizi za ndugu zetu walio uwawa na kulundikwa mithili ya Mikungu ya Ndizi kutokana na maandamano ya tarehe 29 oktoba 2025 Inahitaji moyo wa kishetani kuzungumzia maridhiano kabla ya Ukweli ,Haki na Uwajibikaji.
Sijawahi Amini kwamba katika Taifa letu tunaweza tukawa na Majitu katili kiasi hiki katika mfumo wa utumishi wa Umma.Mungu Awalaani kabisa kila mmoja hadi kizazi chake cha 4.
HUU NI UHALIFU MKUBWA SANA NA HAUTAKIWI KUONEWA AIBU.ALIYE PANGA ,ALIYERATIBU NA ALIYETEKELEZA LAZIMA KWANZA WAWAJIBIKE KILA MMOJA KWA KADIRI YA MATENDO YAKE.
UNYAMA HUU HAUVUMILIKI
BAK MWABUKUSI.