GE2025 Mwabukusi: Maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts

GE2025 Mwabukusi: Maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Katika press aliyoiitisha Rais wa Tanzania Law Society (TLS) Boniphace Mwabukusi amesema maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts.

Maelezo hayo yameibuka mara baada ya mmoja wa waandishi kumtaka Mwabukusi aelezee suala la Polepole kuwa mifumo inasoma akiirejelea mifumo aliyoisema pole kuwa INEC, NIDA na CCM zinasoma ili kupata taarifa za watanzania.

Soma pia: Nawaza tu kwa jicho la tatu Mwabukusi amelamba asali

 
Katika press aliyoiitisha Rais wa Tanzania Law Society (TLS) Boniphace Mwabukusi amesema maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts.

Maelezo hayo yameibuka mara baada ya mmoja wa waandishi kumtaka Mwabukusi aelezee suala la Polepole kuwa mifumo inasoma akiirejelea mifumo aliyoisema pole kuwa INEC, NIDA na CCM zinasoma ili kupata taarifa za watanzania.

Soma pia: Nawaza tu kwa jicho la tatu Mwabukusi amelamba asali

View attachment 3453705

Kweli kabisa, Polepole anapaswa atoe ufafanuzi wa kina zaidi ili tujue ni nini hasa madhara hasi yatokanayo na kitendo hicho.
 
CCM hawaibi kura kwa mfumo bali wanaibia kura LIVE kwenye vituo vya kura.

Soma haya makala yafuatayo mpate ufafanuzi kuhusu namna CCM wanavyochomeka kura bandia kwenye matokeo ya uchaguzi. Soma point namba 4 mara 100, usipoielewa, saga sumu unywe ufe. Huna haja ya kuishi hapa duniani:

 
Katika press aliyoiitisha Rais wa Tanzania Law Society (TLS) Boniphace Mwabukusi amesema maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts.

Maelezo hayo yameibuka mara baada ya mmoja wa waandishi kumtaka Mwabukusi aelezee suala la Polepole kuwa mifumo inasoma akiirejelea mifumo aliyoisema pole kuwa INEC, NIDA na CCM zinasoma ili kupata taarifa za watanzania.

Soma pia: Nawaza tu kwa jicho la tatu Mwabukusi amelamba asali

View attachment 3453705
Very soon POLEPOLE atakuwa IRRELEVANT maana hana hoja yeyote anayoitetea. Yeye ana kisirani tu cha kuvuliwa madaraka aliyopewa na Magufuli.

You can fool some people sometimes, but you cannot fool all the people all the time.

WAPIMBAVU ruksa kuendelea kumsikia huyo bwege wa Cuba. Ila werevu tulisha ng'amua.

Cc Kalamu , Carlos The Jackal , ras jeff kapita , brazaj , Mshana Jr
 
Very soon POLEPOLE atakuwa IRRELEVANT maana hana hoja yeyote anayoitetea. Yeye ana kisirani tu cha kuvuliwa madaraka aliyopewa na Magufuli.

You can fool some people sometimes, but you cannot fool all the people all the time.

WAPIMBAVU ruksa kuendelea kumsikia huyo bwege wa Cuba. Ila werevu tulisha ng'amua.

Cc Kalamu , Carlos The Jackal , ras jeff kapita , brazaj , Mshana Jr
Wewe kama mzoga utachaguliaje watu hoja. Hoja za watu wenye uhai huwezi kuzitambua kuwa na uhalali kwako kama mzoga. Umenipata?
There's no more reasoning with such useless individuals. It's a waste of time.
 
Katika press aliyoiitisha Rais wa Tanzania Law Society (TLS) Boniphace Mwabukusi amesema maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts.

Maelezo hayo yameibuka mara baada ya mmoja wa waandishi kumtaka Mwabukusi aelezee suala la Polepole kuwa mifumo inasoma akiirejelea mifumo aliyoisema pole kuwa INEC, NIDA na CCM zinasoma ili kupata taarifa za watanzania.

Soma pia: Nawaza tu kwa jicho la tatu Mwabukusi amelamba asali

View attachment 3453705

Mnajifariji?

TLS, Mwabukusi: "Mweleweni Polepole kwenye hoja yake ya mifumo ya CCM, INEC na NIDA kuhusiana na wizi wa chaguzi kiufundi."

La kuvunda ...
 
Very soon POLEPOLE atakuwa IRRELEVANT maana hana hoja yeyote anayoitetea. Yeye ana kisirani tu cha kuvuliwa madaraka aliyopewa na Magufuli.

You can fool some people sometimes, but you cannot fool all the people all the time.

WAPIMBAVU ruksa kuendelea kumsikia huyo bwege wa Cuba. Ila werevu tulisha ng'amua.

Cc Kalamu , Carlos The Jackal , ras jeff kapita , brazaj , Mshana Jr

La kuvunda:

TLS, Mwabukusi: "Mweleweni Polepole kwenye hoja yake ya mifumo ya CCM, INEC na NIDA kuhusiana na wizi wa chaguzi kiufundi."

Mbona mtafungua vyungu!
 
Katika press aliyoiitisha Rais wa Tanzania Law Society (TLS) Boniphace Mwabukusi amesema maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts.

Maelezo hayo yameibuka mara baada ya mmoja wa waandishi kumtaka Mwabukusi aelezee suala la Polepole kuwa mifumo inasoma akiirejelea mifumo aliyoisema pole kuwa INEC, NIDA na CCM zinasoma ili kupata taarifa za watanzania.

Soma pia: Nawaza tu kwa jicho la tatu Mwabukusi amelamba asali

View attachment 3453705
Huyu mwabukusi angewafuata tu wataalam wa IT wamwambie what are likely chances za uhuni. Sio lazima polepole aeleze zaidi.
 
Huyu mwabukusi angewafuata tu wataalam wa IT wamwambie what are likely chances za uhuni. Sio lazima polepole aeleze zaidi.
Slowslow inabidi atoe ushahidi ws kuanzia, kws mujibu wa tls-rais
 
Katika press aliyoiitisha Rais wa Tanzania Law Society (TLS) Boniphace Mwabukusi amesema maelezo ya Polepole ni mazuri lakini hayana facts.

Maelezo hayo yameibuka mara baada ya mmoja wa waandishi kumtaka Mwabukusi aelezee suala la Polepole kuwa mifumo inasoma akiirejelea mifumo aliyoisema pole kuwa INEC, NIDA na CCM zinasoma ili kupata taarifa za watanzania.

Soma pia: Nawaza tu kwa jicho la tatu Mwabukusi amelamba asali

View attachment 3453705
mkuu tukusaidie maneno ya polepole niya uongo
 
Slowslow inabidi atoe ushahidi ws kuanzia, kws mujibu wa tls-rais
Ndio maana tunapigwa sana kwa hizi akili. Kashfa yeyote haipaswi kuachwa tu eti kwa vile haijawekwa na ushahidi. Nini maana ya kuwa na vyombo vya uchunguzi. Sasa kama mtu akishaweka ushahidi na asiwe tayar kutoa ushirikiano zaidi?

Ndiyo maana nashauri, Mwabukusi angekuchukua ni kama serious allegations zenye maslahi ya umma. Akawatask wataalam wa mifumo, wapewe ruhusu kufanya auditing na kurudi na majibu.

Kama tu wao wanaona inafaa, vinginevyo watulie wasubirie ushahidi.

Mfano mwningine zile allegatio dhidi ya Rostam nazo unahitaji pole pole aweke ushahidi?
 
Ndio maana tunapigwa sana kwa hizi akili. Kashfa yeyote haipaswi kuachwa tu eti kwa vile haijawekwa na ushahidi. Nini maana ya kuwa na vyombo vya uchunguzi. Sasa kama mtu akishaweka ushahidi na asiwe tayar kutoa ushirikiano zaidi?

Ndiyo maana nashauri, Mwabukusi angekuchukua ni kama serious allegations zenye maslahi ya umma. Akawatask wataalam wa mifumo, wapewe ruhusu kufanya auditing na kurudi na majibu.

Kama tu wao wanaona inafaa, vinginevyo watulie wasubirie ushahidi.

Mfano mwningine zile allegatio dhidi ya Rostam nazo unahitaji pole pole aweke ushahidi?
Mwabukusi sio mjinga kusema vile mkuu, na kama wewe ni mtanzania kama mimi utamuelwa zaidi mwabukusi kwa kusema vile

Ingekua ni poker : if you want to risk/bluff you need to have atleast a good hand --- lugha kwa hisani ya mabeberu
 
Wewe kama mzoga utachaguliaje watu hoja. Hoja za watu wenye uhai huwezi kuzitambua kuwa na uhalali kwako kama mzoga. Umenipata?
There's no more reasoning with such useless individuals. It's a waste of time.
It's only imbeciles that will jump into Polepole stupid bandwagon. Just another gossip from a loser who wants to be relevant after being removed from one of top CCM position. Ignore this twat
 

Tatizo watu wanabeba hoja juu juu tu kihisia labda sababu ya kumchukia mtawala. Kura hupigwa kwa kalamu, na kuhesabiwa kwa mikono, sasa hapa mfumo unaathiri vipi. Kama wizi wa makaratasi yaliyo tikiwa tayari sawa. Mifumo ya benki zote zinasosoma na NIDA, je kitendo hicho kinaathiri vipi amana za wateja? Hii inanikumbusha kipindi cha JPM, Musiba alivyowaaminisha mashabiki wa utawala zama zile kuwa, Lissu hakupigwa risasi, zile hazikuwa risasi bali ni branco, na mashabiki wakaamini
 
Huyu mwabukusi angewafuata tu wataalam wa IT wamwambie what are likely chances za uhuni. Sio lazima polepole aeleze zaidi.
Kwa vile wewe umepinga, yaonekana wewe ni mtaalamu, basi tudadavulie hapa jinsi uwizi unavyofanyika
 
Ndio maana tunapigwa sana kwa hizi akili. Kashfa yeyote haipaswi kuachwa tu eti kwa vile haijawekwa na ushahidi. Nini maana ya kuwa na vyombo vya uchunguzi. Sasa kama mtu akishaweka ushahidi na asiwe tayar kutoa ushirikiano zaidi?

Ndiyo maana nashauri, Mwabukusi angekuchukua ni kama serious allegations zenye maslahi ya umma. Akawatask wataalam wa mifumo, wapewe ruhusu kufanya auditing na kurudi na majibu.

Kama tu wao wanaona inafaa, vinginevyo watulie wasubirie ushahidi.

Mfano mwningine zile allegatio dhidi ya Rostam nazo unahitaji pole pole aweke ushahidi?
Polepole bwege tu, anawasisimua msiojuwa, kiujumla hana jipya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom