Mvuvi hakua mjinga kuchonga mtumbwi

Kertel

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
5,645
Reaction score
5,530
Vipi mpendawa!naona umetulia,unawaza nini?usihofu kama ni gari tengeneza hata la udongo na kama ni ndege nunua hata njiwa na wewe ujidai.
Mimi mwenzio sina mawazo tena,ninamiliki nyumba tatu,mbili za kawaida na moja ya gorofa zote za kuchora kwenye karatasi.,mvuvi hakua mjinga kuchonga mtumbwi,nae alitamani meli!Siku njema.
 
bhahahahahahahaha,dah! hapo kwenye nyumba za kuchora si mchezo.Nalog off
 
Life is very simple unless you complicate it!
 
hahahha mecheka sana....mvuvi hakuwa mjinga kuchonga mtumbwi, naye alitamani meli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…