Inamaana katika wale ambao babu slaa ametangaza tusinunue kazi zao na huyu yumooooo??? Agh masikini weeee, pipooooooozzzzz hakuna kushirikiana na yoyote anaepinga maamuzi wa slaa na mbowe
Wengine hapa mnagawa kushinda uwoya tena kwa bei chee...ila mko nyuma ya keyboard ni kuponda tu...u superstar mzigo wa mwiba aseee.....mnachukia tajiri akila nyama?
Sasa jamani huyu dada anajitafutia kipato chake kwa njia hii ya sanaa na babu ndo katuasa tusiwaunge mkono, dah inaniwia ngumu kuamini kama hawa chadema wapo kwa maslahi ya watanzania.
Sasa jamani huyu dada anajitafutia kipato chake kwa njia hii ya sanaa na babu ndo katuasa tusiwaunge mkono, dah inaniwia ngumu kuamini kama hawa chadema wapo kwa maslahi ya watanzania.
Wengine hapa mnagawa kushinda uwoya tena kwa bei chee...ila mko nyuma ya keyboard ni kuponda tu...u superstar mzigo wa mwiba aseee.....mnachukia tajiri akila nyama?
Kuna wakati alilipunguza ila naona sasa limeanza kurudi labda kwa sasa nadhani ni Beer...Lakini tumbo sio issue sababu akiamua litaondoka tuu...Mvuto bado upo...
Kuna wakati alilipunguza ila naona sasa limeanza kurudi labda kwa sasa nadhani ni Beer...Lakini tumbo sio issue sababu akiamua litaondoka tuu...Mvuto bado upo...