shakur kimboka
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 268
- 357
Kuhusu huyo jasusi mstaafu wa Russia kuuliwa UK ni challenge za kawaida sana, kwani NATO anavyokiuka mikataba ya hapo awali na Soviet Union ambapo waliahidi kama Soviet Union ikizipa nchi za ukanda huo uhuru basi hawata zi recruit NATOSawa kama Ishu Sio Memba Wa NATO Imekaaje Kwa TURKEY Ambae ni NATO Memba Alipo nunua s300 kutoka RUSSIA
Haya Ikawaje Baada Ya UK Kudai Kwamba MOSCOW Ilitaka Kumuua Jasusi wao kwa kumpa sumu katika ardhi ya UK
Sent using Jamii Forums mobile app
kitu ambacho nchi karibia zote za eastern block ambazo zipikuwa part ya Soviet Union zimepewa hiyo membership, Yeye Russia amefanya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app