Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Hapo ndio itakapojulikana kati ya kutumia akili ,hekima na busara na mikurupuko ,jazba ,sifa ,mabavu nani zaidi ?
Ndani ya Chama cha Mapinduzi kumejitokeza kuwa na makundi mawili, kuna watu wanategemea nguvu ya dola kuendesha nchi na kuna wengine wana akili ya kuongoza dola ambao pengine wapo pembezoni au tuseme wamekuwa kama watazamaji.
Siku za hivi karibuni tumeshuhudia majibishano kati ya bingwa la mipango Rostam Aziz na Mzee wa Mtama Bernard Membe. Suala zima likiwa ni mteule wa CCM 2020. Wenye dola wameamua kumtumia Rostam kupambana na Timu Membe ambayo inaonekana kutumia akili kubwa kuisaka ikulu.
Kwa tunaomjua Rostam siyo mtu wa kuongea yeye ni underground fighter, mpaka Rostam kunyanyua mdomo lazima kuna kitu kikubwa ambacho si cha kubezwa. Haiwezekani ikawa bahati mbaya kwamba kaamua tu kumwongelea Membe na 2020. Naye Mzee wa Mtama hakukawia kujibu kauli ya Rostam. Bila shaka aliguswa kwenye mfupa au kulikuwa na ukweli ndani yake. Ilitokea kwa Edo na JK 2010. Edo ‘alitaka’ kukatisha pozi la JK Magogoni, ilikuwa ngumu sana kupindua meza ya Mzee wa Msoga.
Kwa JK angalau tunaweza kusema ilikuwa rahisi kidogo pengine kutokana na namna alivyoongoza kila mtu akadhani anaweza kuwa rais.
CCM ya wakati ule ilikuwa kama bwawa la kambare kila mtu alikuwa na ndevu. Sote tunakumbuka fujo za Nchimbi, Mwigulu, January, Adam Kimbisa, Sophia Simba, Makongoro pale Dodoma akitangazwa mteule wa CCM, ni matokeo ya JK kuwaachia wachukulie poa. Lakini ‘CCM mpya’ chini ya Mkiti wake Magufuli iko tofauti sana inahitaji ujasiri wa kijasiri kuikabili.
Pamoja na uongozi wa awamu hii kuonekana tofauti na uongozi wa mzee wa Msoga pamoja na vitisho vyote bado kuna watu wana ujasiri wa kujitokeza kuwania kiti kilichokaliwa na mtu anayeonekana kutisha kuliko mtangulizi wake.
Watu aina ya Mzee Mtama tusiwachukulie poa maana hadi wanatajwa huenda kuna jambo na mipango waliyo na uhakika nayo. Na binadamu aina ya Mzee wa Mtama huwezi kutabiri awazacho unahitaji akili ya ziada. Ni suala la muda maana ni vita ya nguvu ya dola na akili ya dola.
Anzisha thread yake tujadili.Vipi na upande wa chadema ,wako salama ?,
Huu ni ukweli ukizingatia jinsi alivyo utwsa urais inatis shaka sana kiasi kwamba hata yeye nogopa kutoka nje ya nyumba.Ukiona mzee mzima ziara za nje ya nchi kazipiga chini...
Ukumbuke ya Mwalimu na Sarakikya...
Kuna jambo tusilolijua humo ndani mwao...
Ni Kama.alivyo Rais Magifuli.Membe nje ya madaraka ni mzuri lkn akipata madaraka mtaona kila aina ya rangi
Anawahofia fisi wanaonyemelea mkono huku wengine wakijifanya wako karibu nae... wanaharibu makusudi ili aonekane "OVYO" huku wao wakijitengenezea njia... rejea kauli "... maagizo toka juu.."Huu ni ukweli ukizingatia jinsi alivyo utwsa urais inatis shaka sana kiasi kwamba hata yeye nogopa kutoka nje ya nyumba.
Ingekuwa rahisi namna hiyo angeishafukuzwa zamaniMuda utasema ila natabili membe kupigwa chini au kutimuliwa uanachama wa fisiemu
Sidhani kama umesoma mada ukaelewa vzr! soma upya ndio utaelewa.Hata kama kuna mvutano kama unavyodai lakini mimi naona kwenye upinzani kuna hali mbaya zaidi. Umesikia leo kuwa Chadema wanataka kufukuza wabunge 7? Inaonekana ''waasi'' hawaishi ndani ya upinzani bali kadiri wanavyofukuzwa, ndivyo wanazidi ''kuzaliana''. Nia ya kuandika haya ni kutoa tahadhari kwa watu wenye kutegemea CCM ijiangushe yenyewe ili upinzani ufaidi kuwa ni kama kusubiri kushinda bahati nasibu... badala ya kufanya kazi.
Ndani ya Chama cha Mapinduzi kumejitokeza kuwa na makundi mawili, kuna watu wanategemea nguvu ya dola kuendesha nchi na kuna wengine wana akili ya kuongoza dola ambao pengine wapo pembezoni au tuseme wamekuwa kama watazamaji.
Siku za hivi karibuni tumeshuhudia majibishano kati ya bingwa la mipango Rostam Aziz na Mzee wa Mtama Bernard Membe. Suala zima likiwa ni mteule wa CCM 2020. Wenye dola wameamua kumtumia Rostam kupambana na Timu Membe ambayo inaonekana kutumia akili kubwa kuisaka ikulu.
Kwa tunaomjua Rostam siyo mtu wa kuongea yeye ni underground fighter, mpaka Rostam kunyanyua mdomo lazima kuna kitu kikubwa ambacho si cha kubezwa. Haiwezekani ikawa bahati mbaya kwamba kaamua tu kumwongelea Membe na 2020. Naye Mzee wa Mtama hakukawia kujibu kauli ya Rostam. Bila shaka aliguswa kwenye mfupa au kulikuwa na ukweli ndani yake. Ilitokea kwa Edo na JK 2010. Edo ‘alitaka’ kukatisha pozi la JK Magogoni, ilikuwa ngumu sana kupindua meza ya Mzee wa Msoga.
Kwa JK angalau tunaweza kusema ilikuwa rahisi kidogo pengine kutokana na namna alivyoongoza kila mtu akadhani anaweza kuwa rais.
CCM ya wakati ule ilikuwa kama bwawa la kambare kila mtu alikuwa na ndevu. Sote tunakumbuka fujo za Nchimbi, Mwigulu, January, Adam Kimbisa, Sophia Simba, Makongoro pale Dodoma akitangazwa mteule wa CCM, ni matokeo ya JK kuwaachia wachukulie poa. Lakini ‘CCM mpya’ chini ya Mkiti wake Magufuli iko tofauti sana inahitaji ujasiri wa kijasiri kuikabili.
Pamoja na uongozi wa awamu hii kuonekana tofauti na uongozi wa mzee wa Msoga pamoja na vitisho vyote bado kuna watu wana ujasiri wa kujitokeza kuwania kiti kilichokaliwa na mtu anayeonekana kutisha kuliko mtangulizi wake.
Watu aina ya Mzee Mtama tusiwachukulie poa maana hadi wanatajwa huenda kuna jambo na mipango waliyo na uhakika nayo. Na binadamu aina ya Mzee wa Mtama huwezi kutabiri awazacho unahitaji akili ya ziada. Ni suala la muda maana ni vita ya nguvu ya dola na akili ya dola.
Siasa ni upepo sio hesabu,chochote chaweza badili upepoUkweli usemwe, Jiwe hawezi kutolewa kirahisi
Membe nje ya madaraka ni mzuri lkn akipata madaraka mtaona kila aina ya rangi
Baada ya kuuwa upinzani haitabaki kuwa rahisi....itabidi upinxani huu utokee ndani...binadam kummudu ni kazi sana
Ndani ya Chama cha Mapinduzi kumejitokeza kuwa na makundi mawili, kuna watu wanategemea nguvu ya dola kuendesha nchi na kuna wengine wana akili ya kuongoza dola ambao pengine wapo pembezoni au tuseme wamekuwa kama watazamaji.
Siku za hivi karibuni tumeshuhudia majibishano kati ya bingwa la mipango Rostam Aziz na Mzee wa Mtama Bernard Membe. Suala zima likiwa ni mteule wa CCM 2020. Wenye dola wameamua kumtumia Rostam kupambana na Timu Membe ambayo inaonekana kutumia akili kubwa kuisaka ikulu.
Kwa tunaomjua Rostam siyo mtu wa kuongea yeye ni underground fighter, mpaka Rostam kunyanyua mdomo lazima kuna kitu kikubwa ambacho si cha kubezwa. Haiwezekani ikawa bahati mbaya kwamba kaamua tu kumwongelea Membe na 2020. Naye Mzee wa Mtama hakukawia kujibu kauli ya Rostam. Bila shaka aliguswa kwenye mfupa au kulikuwa na ukweli ndani yake. Ilitokea kwa Edo na JK 2010. Edo ‘alitaka’ kukatisha pozi la JK Magogoni, ilikuwa ngumu sana kupindua meza ya Mzee wa Msoga.
Kwa JK angalau tunaweza kusema ilikuwa rahisi kidogo pengine kutokana na namna alivyoongoza kila mtu akadhani anaweza kuwa rais.
CCM ya wakati ule ilikuwa kama bwawa la kambare kila mtu alikuwa na ndevu. Sote tunakumbuka fujo za Nchimbi, Mwigulu, January, Adam Kimbisa, Sophia Simba, Makongoro pale Dodoma akitangazwa mteule wa CCM, ni matokeo ya JK kuwaachia wachukulie poa. Lakini ‘CCM mpya’ chini ya Mkiti wake Magufuli iko tofauti sana inahitaji ujasiri wa kijasiri kuikabili.
Pamoja na uongozi wa awamu hii kuonekana tofauti na uongozi wa mzee wa Msoga pamoja na vitisho vyote bado kuna watu wana ujasiri wa kujitokeza kuwania kiti kilichokaliwa na mtu anayeonekana kutisha kuliko mtangulizi wake.
Watu aina ya Mzee Mtama tusiwachukulie poa maana hadi wanatajwa huenda kuna jambo na mipango waliyo na uhakika nayo. Na binadamu aina ya Mzee wa Mtama huwezi kutabiri awazacho unahitaji akili ya ziada. Ni suala la muda maana ni vita ya nguvu ya dola na akili ya dola.
MTU yeyeto mwenye exposure hawezi Fanya mambo ya hovyo mambo ya kishamba,sababu ameshajichanganya Na jamii zilizostaarabika.Membe nje ya madaraka ni mzuri lkn akipata madaraka mtaona kila aina ya rangi