Mvuta Bangi

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,810
Kuna msela 1 aikuwa geto anavuta Bangi, mara baada ya bangi kumkolea ghafla Akamuona mtu kamsimamia mbele yake. Kwa hofu Msela akauliza;

Msela: Nani wewe?

Akajibiwa mimi ni Malaika mtowa Roho,

Msela: ah umenishituwa kichizi nilifikiri Polisi bwana. Poa mshikaji...... Cool
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom