Kwa kwel tusubiriLeo ukanda wote wa Pwani mvua kubwa sana inanyesha, pia kanda ya ziwa kwa muda wa wiki nzima mvua imenyesha sana.
Sasa ngoja tuone Tanesco na Dawasa watakuja na visingizio gani tena.
Maana Tanesco walifikia kusema mvua imegoma kunyesha mwaka huu sababu ya hayati Magufuli alikata miti millioni 4 kwenye pori la Selous!!
"kanda ya ziwa kwa muda wa wiki nzima mvua imenyesha sana."Leo ukanda wote wa Pwani mvua kubwa sana inanyesha, pia kanda ya ziwa kwa muda wa wiki nzima mvua imenyesha sana.
Sasa ngoja tuone Tanesco na Dawasa watakuja na visingizio gani tena.
Maana Tanesco walifikia kusema mvua imegoma kunyesha mwaka huu sababu ya hayati Magufuli alikata miti millioni 4 kwenye pori la Selous!!
Wangese wa Team Mgaso watakuja na maelezo 😅 wakiongozwa na Mgosi MaropeLeo ukanda wote wa Pwani mvua kubwa sana inanyesha, pia kanda ya ziwa kwa muda wa wiki nzima mvua imenyesha sana.
Sasa ngoja tuone Tanesco na Dawasa watakuja na visingizio gani tena.
Maana Tanesco walifikia kusema mvua imegoma kunyesha mwaka huu sababu ya hayati Magufuli alikata miti millioni 4 kwenye pori la Selous!!
Chato hakuna cha mkoa wala niniLeo ukanda wote wa Pwani mvua kubwa sana inanyesha, pia kanda ya ziwa kwa muda wa wiki nzima mvua imenyesha sana.
Sasa ngoja tuone Tanesco na Dawasa watakuja na visingizio gani tena.
Maana Tanesco walifikia kusema mvua imegoma kunyesha mwaka huu sababu ya hayati Magufuli alikata miti millioni 4 kwenye pori la Selous!!
Hawana mpangi zaidi ya wizi tuWangese wa Team Mgaso watakuja na maelezowakiongozwa na Mgosi Marope
Utoto mwingine raha sana. Eti mvua zinanyesha ukanda wa Pwani na kanda ya Ziwa. Sijui hayo maji ya mvua za kanda ya ziwa na pwani yataimgia katika mito yetu ya Ruaha na Pangani kuliko na mabwawaya kuzalisha umeme.Leo ukanda wote wa Pwani mvua kubwa sana inanyesha, pia kanda ya ziwa kwa muda wa wiki nzima mvua imenyesha sana.
Sasa ngoja tuone Tanesco na Dawasa watakuja na visingizio gani tena.
Maana Tanesco walifikia kusema mvua imegoma kunyesha mwaka huu sababu ya hayati Magufuli alikata miti millioni 4 kwenye pori la Selous!!
😂😂"kanda ya ziwa kwa muda wa wiki nzima mvua imenyesha sana."
Unalipwa au unajitolea?
Rud darasani usome ramani ya Tanzania vizuri... usituaibushe mitandaoniUtoto mwingine raha sana. Eti mvua zinanyesha ukanda wa Pwani na kanda ya Ziwa. Sijui hayo maji ya mvua za kanda ya ziwa na pwani yataimgia katika mito yetu ya Ruaha na Pangani kuliko na mabwawaya kuzalisha umeme.
Huna akili'Mvua zinazoendelea kunyesha ni za Dar es salaam ambazo hazina uhusiano moja kwa moja na vyanzo vya Mabwawa yetu ya Mtera na Mto Ruvu,Ruaha na Pangani hivyo tunashauri Wananchi waendelee kuwa wavumilivu kipindi hiki Serikali yenu ya Visiwa vya Carribian ikiendelea na mchakato wa kupata mzabuni wa kukodisha majenereta ya kuzalisha Umeme ili kuhakikisha hakuna Mnyonge atakaekosa Umeme''
Vipi umepotea hii thread inahusu mvua siyo mkoa wa Chato mkuu. Chato inakutesa sana.Chato hakuna cha mkoa wala nini
Dawasa wanashangilia walifunga kuombea mvua maana biashara yao ni maji....yakipungua noma Tanesco balaaa maana changamoto zao ni nyingi zaidi ya mvua na majiLeo ukanda wote wa Pwani mvua kubwa sana inanyesha, pia kanda ya ziwa kwa muda wa wiki nzima mvua imenyesha sana.
Sasa ngoja tuone Tanesco na Dawasa watakuja na visingizio gani tena.
Maana Tanesco walifikia kusema mvua imegoma kunyesha mwaka huu sababu ya hayati Magufuli alikata miti millioni 4 kwenye pori la Selous!!
Wanasubiri......mkoa wao ChatoChato hakuna cha mkoa wala nini
Wewe njoo ununue Generetor acha kulalama,wewe unataka na mimi nikale wapi?Leo ukanda wote wa Pwani mvua kubwa sana inanyesha, pia kanda ya ziwa kwa muda wa wiki nzima mvua imenyesha sana.
Sasa ngoja tuone Tanesco na Dawasa watakuja na visingizio gani tena.
Maana Tanesco walifikia kusema mvua imegoma kunyesha mwaka huu sababu ya hayati Magufuli alikata miti millioni 4 kwenye pori la Selous!!
Wacha wamalize muda wao kwa kuisubiria meli ktk stendi ya buhongwaWanasubiri......mkoa wao Chato
Yaani kufa kufaana siyo?Wewe njoo ununue Generetor acha kulalama,wewe unataka na mimi nikale wapi?
Michooro bado ipo mapangoni ya kutuletea mvua ya kutengeneza'Mvua zinazoendelea kunyesha ni za Dar es salaam ambazo hazina uhusiano moja kwa moja na vyanzo vya Mabwawa yetu ya Mtera na Mto Ruvu,Ruaha na Pangani hivyo tunashauri Wananchi waendelee kuwa wavumilivu kipindi hiki Serikali yenu ya Visiwa vya Carribian ikiendelea na mchakato wa kupata mzabuni wa kukodisha majenereta ya kuzalisha Umeme ili kuhakikisha hakuna Mnyonge atakaekosa Umeme''