Jasusi Mbobezi
Senior Member
- May 17, 2020
- 195
- 851
Mvua kubwa inaendelea kunyesha Mtwara, na video hii inaonesha hali ilivyo kwenye stand kuu ya mkoa iliyopo Mkanaledi. Mimi ni CCM dam ila hapa mkuu wa mkoa ulituletea project ya kipumbavu, sijui kwakuwa kwenu Bokoba stand ni mbovu pia.
========
UPDATES
Stand imefungwa kwa muda, magari yanashushia stand ya zamani.
Mkuu wa mkoa siku nyingingine sikiliza maoni ya watu.
Mh Rais huyu mkuu wa mkoa kakuaibisha sana kwenye huu mradi wa stand ya mkoa.
========
UPDATES
Stand imefungwa kwa muda, magari yanashushia stand ya zamani.
Mkuu wa mkoa siku nyingingine sikiliza maoni ya watu.
Mh Rais huyu mkuu wa mkoa kakuaibisha sana kwenye huu mradi wa stand ya mkoa.