Mvua imenikoseshea Demu..

Mvua imenikoseshea Demu..

Mods thread zingine ziwe zinaondolewa tu

Jamani si lazima upende kila thread humu ndani ,tuna viwango tofauti vya uelewa na tuna maisha tofauti !ukiona mada haikufai pita kimyakimya ....!!!
 
Jamani si lazima upende kila thread humu ndani ,tuna viwango tofauti vya uelewa na tuna maisha tofauti !ukiona mada haikufai pita kimyakimya ....!!!

hahahaaaa!! nimemkumba ngwair na swaga zake za kimya kimya!

 
Last edited by a moderator:
Na wewe lile jibu lako la kucha umelipata....au unalipiza ulivyojibiwa vibaya
rudi usome kama nimejibiwa unavyofikiri, Mimi nilikupa ushauri nasaha wa bure baada ya kuona thread yako imepinduliwa, sikutaka kukuacha yatima huku kwenye jukwaa

 
Back
Top Bottom