R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 51,763 Reaction score 100,856 Mar 1, 2026 #1 Msimu ndio huu! Kuna matumaini ganinya mbua, hasa ukanda wa Pwani maana ndiko kuna shida kubwa ya mvua.
Msimu ndio huu! Kuna matumaini ganinya mbua, hasa ukanda wa Pwani maana ndiko kuna shida kubwa ya mvua.
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 22,156 Reaction score 42,794 Mar 1, 2026 #2 Mvua ya kutosha,mpunga tutapata
LOTH HEMA JF-Expert Member Joined Dec 6, 2015 Posts 28,448 Reaction score 44,622 Mar 1, 2026 #3 Inanyesha vizuri tu, mabwawa yamejaa maji
MAWEED Platinum Member Joined Oct 11, 2016 Posts 4,523 Reaction score 15,960 Mar 1, 2026 #4 Mwaka huu mpaka wajinga watavuna mpunga na ndio tutakapouza kilo 800