R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 50,136 Reaction score 96,161 Mar 1, 2026 #1 Msimu ndio huu! Kuna matumaini ganinya mbua, hasa ukanda wa Pwani maana ndiko kuna shida kubwa ya mvua.
Msimu ndio huu! Kuna matumaini ganinya mbua, hasa ukanda wa Pwani maana ndiko kuna shida kubwa ya mvua.
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 21,689 Reaction score 41,849 Mar 1, 2026 #2 Mvua ya kutosha,mpunga tutapata
LOTH HEMA JF-Expert Member Joined Dec 6, 2015 Posts 26,790 Reaction score 41,283 Mar 1, 2026 #3 Inanyesha vizuri tu, mabwawa yamejaa maji
MAWEED JF-Expert Member Joined Oct 11, 2016 Posts 3,941 Reaction score 13,550 Mar 1, 2026 #4 Mwaka huu mpaka wajinga watavuna mpunga na ndio tutakapouza kilo 800