NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Ndg wana JF
Mimi nikijana mdogo wa kiume wa kitanzania mwenye umri wa miaka 28 lakini kichwa changu chote ni cheupe kwa hivi sasa kina mvi ziliianza kuota nikiwa na miaka 21.
Sasa nataka kuoa na kila msichana nae kutana nae ananiambia shikamoo bro hata dada zangu na kaka zangu wananiambia shikamoo, je zaidi ya kupaka mapiko yenye madhara kwa afya ya mtu je kuna njia mbadala ya kurudisha uoto wa asili?
Upara sio solution nitazidi kukimbiza marafiki na mchumba naye msaka kwa vile kichwa changu kina mabonde mabonde lazima tukuubaliane sio wote tunaoweza kunyoa upara.
Nitshukuru kwa kunipa ushauri kwenye hili tatizo linalonikera
Nawakilisha na aksanteni.
Mimi nikijana mdogo wa kiume wa kitanzania mwenye umri wa miaka 28 lakini kichwa changu chote ni cheupe kwa hivi sasa kina mvi ziliianza kuota nikiwa na miaka 21.
Sasa nataka kuoa na kila msichana nae kutana nae ananiambia shikamoo bro hata dada zangu na kaka zangu wananiambia shikamoo, je zaidi ya kupaka mapiko yenye madhara kwa afya ya mtu je kuna njia mbadala ya kurudisha uoto wa asili?
Upara sio solution nitazidi kukimbiza marafiki na mchumba naye msaka kwa vile kichwa changu kina mabonde mabonde lazima tukuubaliane sio wote tunaoweza kunyoa upara.
Nitshukuru kwa kunipa ushauri kwenye hili tatizo linalonikera
Nawakilisha na aksanteni.