fakenology
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 1,002
- 673
leo hii saa 12:30 asubuhi ya tarehe 1/4/2014 boti mv magogoni imeza na watu wote juhudi za uokoaji zinaendelea
nasikia na mume wako alikuwemo.
pole maana utakuwa mjane
leo hii saa 12:30 asubuhi ya tarehe 1/4/2014 boti mv magogoni imeza na watu wote juhudi za uokoaji zinaendelea
R.I.P marehemu wote ndo matukio ya mwisho wa mwaka ajali nyingi.
Mv magogoni ndio ya kutoka wapi kwenda wapi na je ilikuwa imebeba watu wangapi au ni ya mizigo? Hebu eleza kwa kina kidogo tukuelewe.
...i hate devils day....!
....no ni logic tu, kwanini siku hii isitumike kuelimisha wajinga ikawa na faida badala yake inatafsiriwa kuwa ni siku ya kusema uwongo, na bible inaniambia shetani ni baba wa uwongo, so ukiconect dots uwongo ni kazi ya shetani na siku imetafsiriwa kuwa ni ya kusema uwongo jibu ni DEVILS DAY, simple logic man huhitaji lecture ya masaa 3 kung'amua....!!??Baba mchungaji kakudanganya kwamba kila kitu ni cha shetani.. za kuambiwa changanya na zako
Wakuu,nipo ndani ya Mv Magogoni now.
Ni kweli imezama,hapa tupo km 20 chini ya bahari.
Ngoja nipige picha niweke.
leo hii saa 12:30 asubuhi ya tarehe 1/4/2014 boti mv magogoni imeza na watu wote juhudi za uokoaji zinaendelea
nimesikia nikweli imezama na wabunge wa BMLK
leo hii saa 12:30 asubuhi ya tarehe 1/4/2014 boti mv magogoni imeza na watu wote juhudi za uokoaji zinaendelea