mv magogoni imezama na watu

mv magogoni imezama na watu

mbalila

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
824
Reaction score
161
leo hii saa 12:30 asubuhi ya tarehe 1/4/2014 boti mv magogoni imeza na watu wote juhudi za uokoaji zinaendelea
 
Mv magogoni ndio ya kutoka wapi kwenda wapi na je ilikuwa imebeba watu wangapi au ni ya mizigo? Hebu eleza kwa kina kidogo tukuelewe.
 
.....sisemi haiwezi kuzama wala juhudi za kuokoa haziwezi kuendelea, ila, wewe ni jinga kubwa. Hilo nna hakika nalo
 
leo hii saa 12:30 asubuhi ya tarehe 1/4/2014 boti mv magogoni imeza na watu wote juhudi za uokoaji zinaendelea

Leo ni tar 01/04/2014, ambapo inadhaniwa kuwa siku hii ni SIKU YA WAJINGA DUNIANI, huazimishwa na watu wajinga kama wewe uliyetoa mada inayojadiliwa.
 
Wakuu huu mzaha unaosababishwa na hii siku unaleta madhara makubwa kiuchumi na kijamii.
 
Nikajua hii ni siku ya watoto kumbe kuna watu wanaichukulia seriously hadi humu jamvini! Shame on them
 
R.I.P marehemu wote ndo matukio ya mwisho wa mwaka ajali nyingi.
 
Sasa wewe ulitaka izame na nyani wakati inabeba watu ????
 
Back
Top Bottom