Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,877
- 5,694
Sasa hata daladala zikigongana ni CCM imeshindwa kazi?
Baadhi ya watu Humu sijui wakoje, kila kitu wanachukulia ki siasa itafikia hata mtu akila chakula kibichi ni siasa mbovu.
Body without head
Sasa hata daladala zikigongana ni CCM imeshindwa kazi?
huu ni udumavu wa akili
boti ikizima engine basi tayari ni CCM
lah
Kaka wabongo wanafik mno aisee, i dont trust hawa wanaojiganya propaganda humu... Unakumbuka yule kenge ludovic aliyemlengesha lwakatare na ile video? Au hujaona hata humu threadzinazogusa watu fulani hazikai? Na je ukikutana na wafanya mamuzi ya nini kibaki humu huwanafanya nini? Sio zilezile lip services?Mkuu....huyo jamaa nafikiri anaonyesha jinsi amechoka na mambo ya hivyohivyo kila sehemu. Lakini haiwezi kuwa ccm ndio wahusika kwa pantoni kuzima.
This shows how much some people hate ccm.
ingine zimezima boti linapeperushwa na upepo kama jahazi. My take. Ccm imeshindwa kazi