Sielewi hii habari ni ya saangapi maana mie niko hapa ferry na Mv Kigamboni inafanya kazi bila tatizo
umefika saa hiz. Ndo limekokotwa. But ni kweli ni bovu.Sielewi hii habari ni ya saangapi maana mie niko hapa ferry na Mv Kigamboni inafanya kazi bila tatizo
Me mbona nmevuka nayo nw mv hipi unayoongelea ww?
ingine zimezima boti linapeperushwa na upepo kama jahazi.
ingine zimezima boti linapeperushwa na upepo kama jahazi. My take. Ccm imeshindwa kazi