William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Haya wakuu, naomba kuwakilisha mada hapa je kati ya hizi bendi mbili ni ipi iko juu zaidi ya mwenziwe? Maana ukisikiliza sana nyimbo zao utakuta wanatupiana sana vijembe na taarabu nyingi sana za kichini chini, kwa wale washabiki wa muziki mnasemaje?
- Nawasilisha mada.
Wazee wa sauti ya umeme FMES!
- Nawasilisha mada.
Wazee wa sauti ya umeme FMES!