Panga La Shaba
JF-Expert Member
- Dec 24, 2009
- 209
- 68
Habari waungwana JF!
Hizi ni maana ya Uganga.Uchawi&Ushirikina.
Loh! Jamaa wengi utawasikia wakilalamika na kutoa maelezo mengi kuhusu mambo hayo...
Sasa tuanze kuyaelezea...
1-Uchawi ni nin?
2-Ushirikina ni nini?
3-Uganga ni nini?
Nawakilisha.
Maalim Jumaar..ni cousre ipi kati ya hizo tatu unataka kusomea au unasomea maana naona kunakusanya data kwa ajili ya presentation