Muwe makini sana, yamenikuta

Muwe makini sana, yamenikuta

Mkuu unachana (rap) au unaimba....
 
wakati unamuambia monica i love u ure so sweet huku ukichojoa na milio ya ashhhhhhhh shiiii halafu ukamalizia na ujazo mhuuu ......huku umelegea ulitegemea ulikuwa unakojoa povu la sabuni?
 
safii ulitaka mimba isije wakati showkali ya kushtukizwa mana hata zana hukuwa nazo ndani
 
Hiyo ndoto ilikuwa tamu sana....ni kweli alikukata stimu alipokuamsha
 
Ndoto yako uliyoota ni nzuri, mzee wa marce benz
 
Mwanzo wa story umesema mwaka mmoja uliopita

Mpaka sasa huyo demu si kashajifungua

Ahsante sana kwa kahawa na umepaki benz gheto

Sasa Kiongozi ulitaka nipaki CCM?

Bado hamjanielewa kabisa, hapa naona raha sana. Sema nyie hamjui.

Naomba mzidi kunishambulia. Ruksa

Naona watu wote wamekimbilia kwenye mkoko, jamani. Tukija kwenye Geto sie wengine iwe mjengoni/hekaluni/nyumbani kwako/kwangu tunaita Geto, kwahiyo Geto isiwatisheni ni lugha tu hizi.

Ujumbe nliokuwa naufikisha bado hamjaupata.

Ngoja nirudi kwenye mjadala, ni hivi:-

Nimeleta kisa hiki kilichopita, kwasabababu maalum.

Sitaki kufunguka sasa hivi nataka muendelee kunishambulia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom