Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,050
Ndoto za alinacha zinamambo yake sana.
Bro naomba tufanye collabo, uchane kwenye single yangu nnayotoa December
Ndo maana nkaomba collabo mtu mkubwa huyuYeye ana SL 500.........unatakiwa ujue hilo.........
Mwanzo wa story umesema mwaka mmoja uliopita
Mpaka sasa huyo demu si kashajifungua
Ahsante sana kwa kahawa na umepaki benz gheto
Ulikuwa umekunywa? haukutoboka huo mpira maana huuchana kwa kucha ili wapate radha halisiWakati mimi nilitumia Mpira
Unaendesha Benz......SL......halafu ukapiga shoo Ili ujipatie kipato........
jamani jamani jamani jamani jamani..............
Mwanzo wa story umesema mwaka mmoja uliopita
Mpaka sasa huyo demu si kashajifungua
Ahsante sana kwa kahawa na umepaki benz gheto