MUWAZA na pongezi kwa BLW

OK....

Mie nilidhani Tanzania Bara wanazungumza kiswahili kama ni lugha yao ya pili, yaani sio mother tongue.

Kwani wewe huna lugha yako e.g kimasai?
Ninayo. Lakini vivyo hivyo nilijifunza Kiswahili sanifu kama vile nilivyojifunza Kiingereza sanifu.
 
OK....

Mie nilidhani Tanzania Bara wanazungumza kiswahili kama ni lugha yao ya pili, yaani sio mother tongue.

Kwani wewe huna lugha yako e.g kimasai?

Nahisi niweke irabu kidogo hapa,Tupo tunao zungumza kiswahili ,halafu (hafu) wapo wale wanao Ongea swahili.
 
MUWAZA vile vile kwa kupitia Spika wa BLW inawapongeza Wawakilishi wote kwa kusimamia utekelezaji wa:
Kusimamisha BENDERA ya Zanzibar,
Kuanzisha NEMBO ya Zanzibar,
Kuanzisha WIMBO WA TAIFA,
Kutetea MAFUTA ya Zanzibar
Kulilinda na kulitukuza BLW
Kulinda, kuitetea, kuihifadhi na kuitengeneza KATIBA ya Zanzibar
Na baada ya kuyapata hayp yote, nini kinachofuatia kukidai?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom