Tanzania bara!Kwani kiswahili standard au sanifu kinazungumzwa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania bara!Kwani kiswahili standard au sanifu kinazungumzwa wapi?
OK....Tanzania bara!
Ninayo. Lakini vivyo hivyo nilijifunza Kiswahili sanifu kama vile nilivyojifunza Kiingereza sanifu.OK....
Mie nilidhani Tanzania Bara wanazungumza kiswahili kama ni lugha yao ya pili, yaani sio mother tongue.
Kwani wewe huna lugha yako e.g kimasai?
OK....
Mie nilidhani Tanzania Bara wanazungumza kiswahili kama ni lugha yao ya pili, yaani sio mother tongue.
Kwani wewe huna lugha yako e.g kimasai?
Nahisi niweke irabu kidogo hapa,Tupo tunao zungumza kiswahili ,halafu (hafu) wapo wale wanao Ongea swahili.
Na baada ya kuyapata hayp yote, nini kinachofuatia kukidai?MUWAZA vile vile kwa kupitia Spika wa BLW inawapongeza Wawakilishi wote kwa kusimamia utekelezaji wa:
Kusimamisha BENDERA ya Zanzibar,
Kuanzisha NEMBO ya Zanzibar,
Kuanzisha WIMBO WA TAIFA,
Kutetea MAFUTA ya Zanzibar
Kulilinda na kulitukuza BLW
Kulinda, kuitetea, kuihifadhi na kuitengeneza KATIBA ya Zanzibar
Kudai nchi yetu...happy ending, isnt it?Na baada ya kuyapata hayp yote, nini kinachofuatia kukidai?