wana JF tangu ni duu na mpenzi wangu analalamika anasikia muwasho ukeni, hata jana nimeduu nae lakini bado analalamika muwasho na anadai sometimes unaongezeka na sometimes unapungua. huu waweza ukawa ni ugonjwa gani na tiba yake nini? nisaidieni wana jamvi wenzangu.