naombeni msaada bha ndugu nasumbuliwa na tatizo kuwashwa sehemu za maumbile ya kijinsia. nimetumia dawa aina mbali mbali na hata kufika kutokuvaa nguo za ndani
lakini sipati suruhu, rafiki wa karibu yangu anaye nifahaamu vizuri ana dai labda ni kutoshiriki tendo la ngono cku nyingi lakini si dhani kama nin sababu! na ombeni msaada bha ndugu.
:help:
lakini sipati suruhu, rafiki wa karibu yangu anaye nifahaamu vizuri ana dai labda ni kutoshiriki tendo la ngono cku nyingi lakini si dhani kama nin sababu! na ombeni msaada bha ndugu.
:help: