Berlin storm
Member
- Feb 6, 2023
- 60
- 30
Nasumbuliwa na muwasho sugu sehemu za Siri kwa muda mrefu na nimetumia dawa nyingi sana sijapona muwasho upo mpaka sehemu ya aja kubwa.
Nikitembea ni kama mtu ananichana chana kwenye korodani.
Msaada jamani ni muda mrefu naumwa. Dawa natumia ila siponi.
Nikitembea ni kama mtu ananichana chana kwenye korodani.
Msaada jamani ni muda mrefu naumwa. Dawa natumia ila siponi.