Tunaambiwa kuwa Tanganyika na Zanzibar ziliungana lakini hatuna tunachokijua zaidi ya hapo na hata kama kulikuwa na makubaliano ya muunagano basi Muungano wenyewe ni batili kwa sababu zifuatazo:
-Hakuna hati yoyote ya makubaliano ambayo wananchi wa Tanganyika na Zanzibar au wawakilishi wao wanaweza
kuonyeshwa.
-Wananchi wa Tanganyika na Zanzibar hawakushirikishwa katika maamuzi ya kuungana, hivyo hawashurutishwi
kuutambua.
- Muungano umeleta maafa; umwagaji damu, upotezaji wa mali, uharibifu wa mali, udhalilishaji,ufujaji wa
pesa,vifungo n.k kinyume cha nadharia nzima ya Muungano wa nchi zozote zile, nchi haziungani kwa ajili ya kumwaga
damu,kupoteza mali n.k
Kwa sababu hizi ninawaomba wananchi wa pande zote mbili mupeleke maoni ya kuukana Muungano katika mabaraza ya Katiba.
-Hakuna hati yoyote ya makubaliano ambayo wananchi wa Tanganyika na Zanzibar au wawakilishi wao wanaweza
kuonyeshwa.
-Wananchi wa Tanganyika na Zanzibar hawakushirikishwa katika maamuzi ya kuungana, hivyo hawashurutishwi
kuutambua.
- Muungano umeleta maafa; umwagaji damu, upotezaji wa mali, uharibifu wa mali, udhalilishaji,ufujaji wa
pesa,vifungo n.k kinyume cha nadharia nzima ya Muungano wa nchi zozote zile, nchi haziungani kwa ajili ya kumwaga
damu,kupoteza mali n.k
Kwa sababu hizi ninawaomba wananchi wa pande zote mbili mupeleke maoni ya kuukana Muungano katika mabaraza ya Katiba.