Muungano ukivunjika



 
gavana naona unavita naukristu lkn hiyo kupitia JF haiwezekani, hata tukiondoa ukristu, hao hao boko haram wanawaua akina nani huko kaskazini mwa nigeria? kukaa nyuma ya key board kuwatetea waarabu wa sudani siyo sawa, wakusini waliwavumilia hadi uvumilivu ukafika kikomo wakachukua hatua ww uko nanjilinji huwezi jua.
 
Baadhi ya hawa leo wanaonekana kama wasaliti wa Muungano, Warioba, maalim seif
 
Kuna rasilimali ambazo hazipo direct kama vile gas au mafuta, Zanzibar peke yake ni rasilimali, watu pia rasilimali, sasa mkuu kwa nini Hamtaki kupunguza mambo ya Muungano na kila siku mnazidisha?

Sarafu - kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe na sarafu yake? Kwa maana mnafaidika.
Michezo - kwa nini mnatumia jina la tánzania katika michezo kimataifa? Kwa maana mnafaidika na kuifunika Zanzibar.
Mikopo - kwa nini Hamtaki suala la mikopo kuwa nje ya Muungano? Kwa maana mnafaidika.
Uhamiaji - uraia--kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe na uraia wake, ili kulinda ardhi yake ihali mnajua eneo dogo kama mnavyo sema? Mnafaidika
Anga - kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe inaongoza wizara hii nje ya Muungano? Mnafaidika tu.
Ulinzi na usalama - kwa nini Hamtaki kuondoa kwenye orodha ya mambo ya Muungano? Mnasema hatuchangii, Zanzibar kuna zaidi ya 6000 jeshi na usalama kutoka tanganyika, mnafaidika.
Police - kwa nini Hamtaki Zanzibar iwe na police yake, badala ya kung'ania kuwa muungano? Mnafaidika.

Wazanzibar wanautaka Muungano lakini sio huu wa kinyonyaji, hao wajitao viongozi wanao sema unatusaidia ni wanafiki, mbona Wazanzibar wanalalamika? Kama asilimia 89 za maoni ya katiba nakukumbusha, tulitaka Muungano wa mkataba. [emoji111]
 
Ukienda Canada wapo wazanzibari, UK wapo, UAE wapo, wote hao wamekeza biashara kubwa kubwa baadhi ya nchi na wapo walio ajiriwa, asikwambie mtu, mtu kwao, na leo hii wanatamani Muungano uvunjike, sijui hao walipo Dar, maisha yenyewe ya kutumbuana
 
Mtaani wamejaa akina choloo na babu ally wote wauza maduka hakuna mpemba mwekezaji
 
Unauharibu Uzi huu uzi unahusu mambo ya muungano.
Namfundisha gvn maana vita ya Kiroho na vita ya nyama [emoji4] muonye gvn asirudie tena [emoji15] [emoji4]
 
kwa hiyo unataka uhusiano wa tanganyika na zanzibar uwe kama wa tanganyika na kenya?
 
kwa hiyo unataka uhusiano wa tanganyika na zanzibar uwe kama wa tanganyika na kenya?



Jeuri yote hii mnaipata kwa sababu sisi ni taifa dogo na hatuna hiyo mizinga ya kujinasua , lakini Mwenyezi Mungu ana mbinu zake za kuwatoa kama David alivyomwangusha Goliath insha Allah tutakomboka
 
Mtaani wamejaa akina choloo na babu ally wote wauza maduka hakuna mpemba mwekezaji


Ni kweli kwani Mtanganyika kawekeza Zanzibar kwa utitiri wa vibanda vya makanisa visivyo waumini , Jumamosi na Jumapili waumini huwa wanaletwa kwa boti jioni wanarudishwa

Pia kwa utitiri wa wanajeshi na watu wasiojulikana kila mtaa
 
Karume aliposema koti likikubana unalivua akauliwa..Jumbe akafungiwa miaka yote Mjimwema...Maalim Seif akawekwa kizuizini....Wahenga tunataka kujua kuna siri gani Zanzibar mpaka Tanganyika wako tayari kupeleka jeshi kuwatishia...
Nakupa tu kidgo sitaki ningie ndani sana ni kwamba Zanzibar is Tanganyika territory na Zanzibar haitakaa ijitenge from Tanganyika the main reason ni security tu.
 
Nakupa tu kidgo sitaki ningie ndani sana ni kwamba Zanzibar is Tanganyika territory na Zanzibar haitakaa ijitenge from Tanganyika the main reason ni security tu.


Security ya kitu gani kwani Zanzibar ina jeshi la kuishambulia Tanganyika ???

Sababu kubwa utaipata katika kitabu cha Padri Sivallon haikufichwa

Dr John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985 (1992).

Kitabu hiki kinaeleza njama ndani ya serikali kuuhujumu Uislam.
Sivalon anafichua kuwa kuanzia mwaka 1961 baada ya Tanganyika kupata uhuru, Kanisa lilikuwa na hofu mbili.

Hofu ya kwanza ilikuwa umoja wa madhehebu za Kiislamu kati ya Sunni, Bohora, Ismailia na Ithnasheri. Hofu ya pili ilikuwa kuhamishwa kwa makao makuu ya EAMWS kutoka Mombasa kuja Dar es Salaam.

Kanisa lilikuwa linahofu kuwa mali walizokuwanazo Waasia Waislamu zikitiwa katika shughuli za Waislamu ambao walikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukatoliki katika Afrika ya Mashariki.

Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislamu ni adui wake na ikaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislamu ili kuudhoofisha.

Anaendelea kusema kuwa wamefanikiwa Huku Tanganyika sasa kazi ipo Zanzibar
 
Mapacha wanazaliwa wakiwa wameungana lakini wewe bado unapalilia utengano.hii ni hasara sana
 
Muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika unawanufisha wachumia tumbo wachache kutoka Zanzibar kwa hasara ya mamilioni ya waZanzibar wanaokosa fursa nyingi za kiuchumi kwa sababu ya huu muungano wa kiquma.
 
Hekima yake nini [emoji54] [emoji15] unaokota mistari unatuwekea tu[emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…