Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,644
- 113,877
Kwa wale wenye access na Channel Ten, watch kipindi cha Hamza Kassongo Hour, Jaji Mark Bomani, anazungumzia mambo mbalimbali kuhusu nchi yetu.
Amezungumzia suala la muungano lazima lijadiliwe kwa ukweli na uwazi ili kwenye katiba mpya zile kero za muungano zipate ufumbuzi wa kikatiba.
Amesema ni kosa kutokuwepo hadidu za rejea kuhusu muungano huku kuna hoja za tunataka serikali ngapi?. Amesema huwezi kujadili kuhusu serikali ngapi kama hujatoa fursa ya kujadili ni muungano wa aina gani?Ameshazungumzia kuusupport Muungano wa Mkataba!.
Amekiri kuwa Tanzania sasa kama nchi, haina dira wala mwelekeo!. Lazima katiba itamke rasmi Tanzania tunafuata itikadi gani?. Yeye anasupport "Ujamaa na Kujitegemea", na kusisitiza hata Sweeden ni nchi inayofuata siasa ya Ujamaa!.
Miongoni mwa maoni yake ni mawaziri wasiwe wabunge!.
Endeleeni kumfuatilia.
Pasco.
Amezungumzia suala la muungano lazima lijadiliwe kwa ukweli na uwazi ili kwenye katiba mpya zile kero za muungano zipate ufumbuzi wa kikatiba.
Amesema ni kosa kutokuwepo hadidu za rejea kuhusu muungano huku kuna hoja za tunataka serikali ngapi?. Amesema huwezi kujadili kuhusu serikali ngapi kama hujatoa fursa ya kujadili ni muungano wa aina gani?Ameshazungumzia kuusupport Muungano wa Mkataba!.
Amekiri kuwa Tanzania sasa kama nchi, haina dira wala mwelekeo!. Lazima katiba itamke rasmi Tanzania tunafuata itikadi gani?. Yeye anasupport "Ujamaa na Kujitegemea", na kusisitiza hata Sweeden ni nchi inayofuata siasa ya Ujamaa!.
Miongoni mwa maoni yake ni mawaziri wasiwe wabunge!.
Endeleeni kumfuatilia.
Pasco.