Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
- Thread starter
- #21
SHENGESHA ndio nini,Na ss pia tushachoka ukoloni wa Tanganyika vunja Muungano wa Dhulma mbalini!hakuna anayeogopa hapa ss tuko wazi hatufichifichi msimamo wetu!
ZANZIBAR KWANZA SHENGESHA BAADAE!!!!
Muungano uvunjike na wale kupe wanaoona damu ya ngombe sio tamu wakajinyonye damu yao wenyewe.
Zanzibar mko wachache kuliko hata wilaya ya bariadi halafu mnataka muwe na haki sana na watu milioni 45 hii ni sawa kweli?