Muulizeni haya Maswali Mh. Lowassa

Muulizeni haya Maswali Mh. Lowassa

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
1. Gazeti la Raia Mwema la Novemba 2010 liliripoti na kuonesha picha ya nyumba ambayo familia yako inamiliki Uingereza. Ukasema ni ya mwanao, je kwa nchi masikini kama ya kwetu, ni sahihi kwa kiongozi wa UMMA kumiliki nyumba kubwa ya kifahari nje ya nchi?

2. Mkapa alipounda baraza jipya la mawaziri mwaka 1995 alikuacha, wengi wanasema kuwa Nyerere alimuambia asikupe hata uwaziri, Je kwanini Mwalimu alikukataa?

3. Tangu mwaka 1994, zaidi ya miaka ishirini sasa (20 years), Afrika kusini imekuwa ikikodisha nyumba yako masaki kama ubalozi wake, kuna tetesi kwamba huko nyuma walitaka kuhama lakini wakaogopa kuihama nyumba inayomilikiwa na kiongozi mkuu, na kulikuwa na tetesi kwamba wanataka kuhama lakini wanatishiwa. Ni kiasi gani cha fedha umepata kwa zaidi ya miaka 20 ya kukodisha nyumba hiyo? Je kiasi hicho kimeripotiwa kwenye fomu ya maadili?

4. Kuna maelezo kwamba nyumba hiyo ya ,masaki ambayo mzee mandela alikuja mwaka 1994 kuufungua ubalozi mpya wa afrika kusini ndicho chanzo kikuu cha mwalimu kusema inakuwaje kijana wa miaka 41, akiwa mtumishi wa umma maisha yake yote na mshahara wake unajulikana, anamiliki hekalu kama lile na tena kukodishwa na serikali ya kigeni? unasemaje kuhusu hili?

5. Pia unamiliki ranchi kubwa sana kule mzeri handeni, ranchi hiyo ilikuwa ranchi ya taifa, lakini ukajimegea na ukamega maeneo mengi zaidi. Ranchi iyo uliipata ukiwa bado kiongozi wa Umma, Je, mtu aliyewahi kuwa waziri wa mifugo na waziri mkuu, kujiuzia ranchi iliyokuwa ya serikali, inaendana na dhana ya uongozi uliotukuka??? Tukikupa madaraka makubwa zaidi, hautajiuzia kila kitu?
Vilevile, katika nchi ambayo wananchi wengi hawamiliki ardhi, Je, kiongozi kuhodhi eneo kubwa la ardhi, inatupa picha gani wananchi?

6. Kwenye sakata la Richmond, ujasiri nikusema ukweli au kubwaga manyanga? Kama ungesema ukweli na usingejiuzulu kwenye richmond, chama kingeathirika vipi wakati unasema hakuna kosa lililoanyika?

7. Kwanini kwenye kila tukio la kitaifa, ukisimama tu karibu na kikwete, unahangaika kutuma picha kwenye magazeti na mitandao yote?

8. Katika miaka yako 40 ya utumishi wa Umma, una lipi jipya ambalo umelisahau, na sasa utalifanya katika huu urais wako unaougharamia kwa pesa nyingi?

9. Umekuwa waziri wa ardhi, mbona matatizo bado tele nchini? Umekuwa waziri wa maji, mbona matatizo bado tele nchini? Umekuwa waziri wa mazingira, mbona kuna matatizo ya uharibifu na uchafuzi wa mazingira? Umekuwa waziri wa mifugo, mbona wafugaji bado masikini, na wanahangaika? Huo urais unautaka wa nini kama uwaziri umekushinda?

10. Umetoa mchango gani kwenye bunge maalum la katiba katika kuyatetea maoni ya wananchi, hali ulikuwa ukishuhudia yakipotoshwa na chama chako?


(itaendelea)
 
Pia atueleze atamaliza vipi tatizo la rushwa na ufisadi nchini
 
AHADI ALIZOTOA JAKAYA KIKWETE MWAKA 2010-2015

Ahadi na Mahali Ilipotolewa

1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora

2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini


$HapaKaziTu$
Out of context. You can't handle the truth, don't you?
 
We still remember those promises man. How many have been fulfilled so far until now? We don't need further cheatings this year

President Kikwete is not running for the office. You have to rephrase your questions since TZ has no three terms presidential election.

Now back to my questions. Why are you evading them?
 
Tueleze pia pembe za ndovu zilizokamatwa Uswisi last month zilipitaje pale Airport, tonnes 18 za madawa ya kulevya zilizokamatwa South Africa zilipitaje Airport, Twiga walipandaje ndege na kusafirishwa kwenda nje, Escrow akina nani walivuta ule mkwanja Stanbick, Mabehewa Chakavu yaliyonunuliwa km mapya nani alinunua, Ferry ile Chakavu nayo ilikuaje ikanunuliwa, ubadhirifu mkubwa kwenye halmashauri nyingi nchini zinasababishwa na nini.

Hizi siasa za ulaghai na utapeli chini ya CCM ndizo zimetufikisha hapa. Matokeo yake tunapitwa kimaendeleo na nchi ndogo km Rwanda na Kenya. Mwaka huu hatukubali. Mambo mengine angalia viambatisho hapa chini.

A lot of Chadema are employed at that port of entry and exit.
 
1. November 2, 1991 wananchi wa Zambia walimchagua Ndg. Chiluba ambaye alimshinda aliyekuwa rais kwa zaidi ya miaka 27 na mpigania uhuru wa nchi hiyo Mzee Kaunda; pamoja na sababu zingine ila kubwa zaidi, wananchi hao walihitaji "Mabadiliko".


2. DecTumechoka!....
Thinkers will not choose CCM B. Now answer my questions.
 
1. November 2, 1991 wananchi wa Zambia walimchagua Ndg. Chiluba ambaye alimshinda aliyekuwa rais kwa zaidi ya miaka 27 na mpigania uhuru wa nchi hiyo Mzee Kaunda; pamoja na sababu zingine ila kubwa zaidi, wananchi hao
NB:.. Ndugu zangu CCM inango'ka kwa sababu wananchi wanahitaji mabadiliko. Tumechoka!....

Repetition won't help you, in contrast, expose the weakness of your leader and ukawa.
 
Both Magufuli and Lowasssa have serious problems to hold that highest office. But when faced between a rock and a hard place, I would rather choose a hard place: Magufuli is a little better than Lowassa under these circumstances though both do not deserve to reside in Magogoni castle. I hate to say this but why did Mbowe and CHADEMA bring us to this deadlock after we had fought for our emancipation all these years? I don't want to believe that at this time CCM looks much more cleaner than CHADEMA. CCM had done a very good job of creating rifts within themselves, and that should have been enough for CHADEMA to wage a clean campaign and win, but I don't know why myopic/ineptitude Mbowe jumped in to host one faction of CCM and transform CHADEMA into a gang of CCM loosers!
 
I will live all my life I would ever have.. But there some people who deserve to die for others! Would u sacrifice yourself for others?
Maswali yako hayajaenda shule; nyumba kuchukuliwa na balozi from South Africa!!! Are u serious? The rumor about Baba wa taifa Mwal. Nyerere kumnyima hata uwaziri kwa Mh. Lowasa eti kwakuwa alifuja pesa!
Bi titi Mohamed, aliwahi kuonywa na nyerere kutumia fedha vibaya za umma.. Je, alishindwaje kumfunga Lowasa alipofuja pesa na wakati umesema mwenyewe alinyimwa hata uwaziri enzi za mkapa? Mbona unaibua some stupid accusation ambazo hata unapomuuliza mtu anashindwa akuambieje..
Kwa mfano mdogo, hebu muulize kikwete mimi ni muajiriwa wa serikali iweje mpaka sasa hajatoa mishahara kwa wafanyakazi wake mpaka sasa! Na umeme ameukata huku vijijini mpaka sasa mi naishije?
Na watu kama mimi tupo wengi mno.. Huku vijijini nilipo sasa hakuna hata mtu mmoja anapenda CCM..
Eti Lowasa anatuma picha akiwa na kikwete, so we have to ask 'em why!!? Are u.. I may have to see u maybe I'll get to know u better!
Si kama tunapenda kukiacha chama cha CCM kitape tape tunamuonea huruma mtu wa cite awe mwanasiasa.. Yule ni mtu wa kutumwa na kupangiwa (Magufuli) no way, he can't be president.. Not this year.. Let see after 20years..
We need to pursue further and further.. Mambo ya maisha bora na bado hakuna hata utu ktk maisha duni tulio nayo haifai.. Tena nahasira naweza nikakufuata ulipo!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
1. Gazeti la Raia Mwema la Novemba 2010 liliripoti na kuonesha picha ya nyumba ambayo familia yako inamiliki Uingereza. Ukasema ni ya mwanao, je kwa nchi masikini kama ya kwetu, ni sahihi kwa kiongozi wa UMMA kumiliki nyumba kubwa ya kifahari nje ya nchi?

2. Mkapa alipounda baraza jipya la mawaziri mwaka 1995 alikuacha, wengi wanasema kuwa Nyerere alimuambia asikupe hata uwaziri, Je kwanini Mwalimu alikukataa?

3. Tangu mwaka 1994, zaidi ya miaka ishirini sasa (20 years), Afrika kusini imekuwa ikikodisha nyumba yako masaki kama ubalozi wake, kuna tetesi kwamba huko nyuma walitaka kuhama lakini wakaogopa kuihama nyumba inayomilikiwa na kiongozi mkuu, na kulikuwa na tetesi kwamba wanataka kuhama lakini wanatishiwa. Ni kiasi gani cha fedha umepata kwa zaidi ya miaka 20 ya kukodisha nyumba hiyo? Je kiasi hicho kimeripotiwa kwenye fomu ya maadili?

4. Kuna maelezo kwamba nyumba hiyo ya ,masaki ambayo mzee mandela alikuja mwaka 1994 kuufungua ubalozi mpya wa afrika kusini ndicho chanzo kikuu cha mwalimu kusema inakuwaje kijana wa miaka 41, akiwa mtumishi wa umma maisha yake yote na mshahara wake unajulikana, anamiliki hekalu kama lile na tena kukodishwa na serikali ya kigeni? unasemaje kuhusu hili?

5. Pia unamiliki ranchi kubwa sana kule mzeri handeni, ranchi hiyo ilikuwa ranchi ya taifa, lakini ukajimegea na ukamega maeneo mengi zaidi. Ranchi iyo uliipata ukiwa bado kiongozi wa Umma, Je, mtu aliyewahi kuwa waziri wa mifugo na waziri mkuu, kujiuzia ranchi iliyokuwa ya serikali, inaendana na dhana ya uongozi uliotukuka??? Tukikupa madaraka makubwa zaidi, hautajiuzia kila kitu?
Vilevile, katika nchi ambayo wananchi wengi hawamiliki ardhi, Je, kiongozi kuhodhi eneo kubwa la ardhi, inatupa picha gani wananchi?

6. Kwenye sakata la Richmond, ujasiri nikusema ukweli au kubwaga manyanga? Kama ungesema ukweli na usingejiuzulu kwenye richmond, chama kingeathirika vipi wakati unasema hakuna kosa lililoanyika?

7. Kwanini kwenye kila tukio la kitaifa, ukisimama tu karibu na kikwete, unahangaika kutuma picha kwenye magazeti na mitandao yote?

8. Katika miaka yako 40 ya utumishi wa Umma, una lipi jipya ambalo umelisahau, na sasa utalifanya katika huu urais wako unaougharamia kwa pesa nyingi?

9. Umekuwa waziri wa ardhi, mbona matatizo bado tele nchini? Umekuwa waziri wa maji, mbona matatizo bado tele nchini? Umekuwa waziri wa mazingira, mbona kuna matatizo ya uharibifu na uchafuzi wa mazingira? Umekuwa waziri wa mifugo, mbona wafugaji bado masikini, na wanahangaika? Huo urais unautaka wa nini kama uwaziri umekushinda?

10. Umetoa mchango gani kwenye bunge maalum la katiba katika kuyatetea maoni ya wananchi, hali ulikuwa ukishuhudia yakipotoshwa na chama chako?


(itaendelea)

Muhulize wewe kielehele.sisi tunaimani na Lowassa.


swissme
 
Madeni kila nchi wakati hata wewe una madeni hata kama amehaidi anaekuja atakamilisha mbona hata daraja la mto rufiji limejengwa enzi za mkapa wakati plan ilikuwepo tangu enzi za interfere
 
Both Magufuli and Lowasssa have serious problems to hold that highest office. But when faced between a rock and a hard place, I would rather choose a hard place: Magufuli is a little better than Lowassa under these circumstances though both do not deserve to reside in Magogoni castle. I hate to say this but why did Mbowe and CHADEMA bring us to this deadlock after we had fought for our emancipation all these years? I don't want to believe that at this time CCM looks much more cleaner than CHADEMA. CCM had done a very good job of creating rifts within themselves, and that should have been enough for CHADEMA to wage a clean campaign and win, but I don't know why myopic/ineptitude Mbowe jumped in to host one faction of CCM and transform CHADEMA into a gang of CCM loosers!

I love your closing statement
 
I will live all my life I would ever have.. But there some people who deserve to die for others! Would u sacrifice yourself for others?
Maswali yako hayajaenda shule; nyumba kuchukuliwa na balozi from South Africa!!! Are u serious? The rumor about Baba wa taifa Mwal. Nyerere kumnyima hata uwaziri kwa Mh. Lowasa eti kwakuwa alifuja pesa!
Bi titi Mohamed, aliwahi kuonywa na nyerere kutumia fedha vibaya za umma.. Je, alishindwaje kumfunga Lowasa alipofuja pesa na wakati umesema mwenyewe alinyimwa hata uwaziri enzi za mkapa? Mbona unaibua some stupid accusation ambazo hata unapomuuliza mtu anashindwa akuambieje..
Kwa mfano mdogo, hebu muulize kikwete mimi ni muajiriwa wa serikali iweje mpaka sasa hajatoa mishahara kwa wafanyakazi wake mpaka sasa! Na umeme ameukata huku vijijini mpaka sasa mi naishije?
Na watu kama mimi tupo wengi mno.. Huku vijijini nilipo sasa hakuna hata mtu mmoja anapenda CCM..
Eti Lowasa anatuma picha akiwa na kikwete, so we have to ask 'em why!!? Are u.. I may have to see u maybe I'll get to know u better!
Si kama tunapenda kukiacha chama cha CCM kitape tape tunamuonea huruma mtu wa cite awe mwanasiasa.. Yule ni mtu wa kutumwa na kupangiwa (Magufuli) no way, he can't be president.. Not this year.. Let see after 20years..
We need to pursue further and further.. Mambo ya maisha bora na bado hakuna hata utu ktk maisha duni tulio nayo haifai.. Tena nahasira naweza nikakufuata ulipo!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Stop whinging and answer my questions
 
Madeni kila nchi wakati hata wewe una madeni hata kama amehaidi anaekuja atakamilisha mbona hata daraja la mto rufiji limejengwa enzi za mkapa wakati plan ilikuwepo tangu enzi za interfere
This is why we need CCM in Tanzania
 
I will live all my life I would ever have.. But there some people who deserve to die for others! Would u sacrifice yourself for others?
Maswali yako hayajaenda shule; nyumba kuchukuliwa na balozi from South Africa!!! Are u serious? The rumor about Baba wa taifa Mwal. Nyerere kumnyima hata uwaziri kwa Mh. Lowasa eti kwakuwa alifuja pesa!
Bi titi Mohamed, aliwahi kuonywa na nyerere kutumia fedha vibaya za umma.. Je, alishindwaje kumfunga Lowasa alipofuja pesa na wakati umesema mwenyewe alinyimwa hata uwaziri enzi za mkapa? Mbona unaibua some stupid accusation ambazo hata unapomuuliza mtu anashindwa akuambieje..
Kwa mfano mdogo, hebu muulize kikwete mimi ni muajiriwa wa serikali iweje mpaka sasa hajatoa mishahara kwa wafanyakazi wake mpaka sasa! Na umeme ameukata huku vijijini mpaka sasa mi naishije?
Na watu kama mimi tupo wengi mno.. Huku vijijini nilipo sasa hakuna hata mtu mmoja anapenda CCM..
Eti Lowasa anatuma picha akiwa na kikwete, so we have to ask 'em why!!? Are u.. I may have to see u maybe I'll get to know u better!
Si kama tunapenda kukiacha chama cha CCM kitape tape tunamuonea huruma mtu wa cite awe mwanasiasa.. Yule ni mtu wa kutumwa na kupangiwa (Magufuli) no way, he can't be president.. Not this year.. Let see after 20years..
We need to pursue further and further.. Mambo ya maisha bora na bado hakuna hata utu ktk maisha duni tulio nayo haifai.. Tena nahasira naweza nikakufuata ulipo!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

This is the hard truth which CCM benefactors, and sympathisers do not want to hear.
Hatuna namna, they must go.
 
Back
Top Bottom