Muuguzi adaiwa kuua mjamzito, mapacha

Muuguzi adaiwa kuua mjamzito, mapacha

Mganga Mkuu Wa Hy Hosp Si Bure Anamaslahi Nae Huyo Nesi,kama Siyo Hawara Yake,basi Ni Shemeji Yake,au Ni Ndugu Yake, Nachosema Utetezi Huo Si Bure, Yaani Kumhoji Nesi Et Ulikuwa Unaongea Na Sm? Ee Ndiyo Nilikuwa Naongea Na Daktari Kuomba Msaada!! Dr.Huyu Hakutaka Hata Kuwauliza Ndugu Wa Marehemu Kahitimisha Na Kuwapa Onyo Kali Sana! Hivi Alienda Kuhakiki Kwenye Mitambo Ya Sm Akajiridhisha Kuwa Alikuwa Anaongea Na Daktar Na Maongezi Yalihusu Huyo Mgonjwa?Na Ilikuwaje Daktari Huyo Asiwepo Eneo Lake La Kazi?Mbona Haya Maswali Hajayajibu?Atoe Maelezo Daktari Muda Huo Alikuwa Wapi?Huyo Binti Alipokelewa Mkampima Mkajua Tatizo Lake Kwanini Hamkupeana Hayo Maelekezo Tangu Mwanzo?Halafu Yaani Hospital Nzima Sik Hy Haikuwa Na Daktari? MH WAZIRI WA AFYA NAKUOMBA UUNDE TUME UCHUNGUZE MASLAHI ALIYONAYO HUYO DAKTARI KWA NESI HUYO KWA SABABU MIMI NAAMINI MOJA KWA MOJA DAKTARI ANAMASLAHI MAKUBWA KWA NESI HUYO KAMA SIYO HAWARA YAKE BASI NI NDGU NDO MAANA AMETUMIA NGUVU KUBWA SANA KUMLINDA HUYO NESI MUUAJI.Na Huo Ndo Ukweli.
 
DAKTARI AJIBU MASWALI HAYA. MOSI, Dr, Hadi Apigiwe Sm Inaonesha Hapakuwepo Daktari Muda Huo, Kwanini?PILI, Mjamzito Mlimpokea Mkampima Mkagundua Ni Ya Miezi Sita Kwanini Hamkuchukua Tahadhari Tangu Awali?Au Hayo Maelekezo Mbona Hamkupeana Mapema?TATU, Amejiridhishaje Kama Nesi Alikuwa Anaongea Na Sm Ambayo Ilihusu Kuomba Msaad Wa Mgonjwa Huyo?Maana Hakwenda Kwenye Kampuni La Sm Kufuatilia Mazungumzo Ya Nesi Na Ni Daktari Gani Alikuwa Anaongea Nae Na Kwanini Daktari Huyo Hakuwepo Kazini Muda Huo Na Huku Akijua Kuna Mjamzito Wamempokea Akiwa Na Mimba Ya Miezi Sita?NNE, Ajibu Ni Kwanini Wananchi Wamvamie Nesi Huyo Tu Na Si Mwingine?Au Hao Wananchi Wanaugua Uchizi Kwamba Wanaweza Kumvamia Nesi Yeyote Na Kumshambulia?TANO.Kwanini Hakuzungumza Na Ndugu Wa Marehemu Ili Kupima Mizania?SITA,anafikiri Ni Kwanini Nesi Wa Wodi Ya Pili Alipoombwa Akatoe Msaa Alikwenda Mbona Hakusema Tatizo Hilo Linahitaji Maekezo Ya Daktari Kama Nesi Mwenzake Anavyodai? Maswali Ni Mengi Kuliko Majibu, WANAHARAKATI NENDENI MKASAIDIE
 
Dharau kitu kibaya sana, hilo jihudumu linaleta dharau hadi kwenye maisha ya watu. Linastahili adhabu kubwa sana ili iwe funzo/fundisho kwa wengine wasiojali thamani ya binadamu wenzao.

Mijitu ya hivyo ikiwa haina kazi inakuwa minyenyekevu ila pale yanapopata ajira yanakuwa kama wanyama.

Hapo amefurahia mwenzake kuondokewa na wawili wake, je ingekuwa yeye angejisikiaje?

Kumbuka kabla ya kumfanyia mwenzio kitu kibaya chukulia na wewe kwa upande wako ungejisikiaje endapo ungetendewa jambo kama hilo
 
Serikali yetu haijaweka kipaumbele kwenye mambo ya msingi kama afya na elimu,vipaumbele vimewekwa kwenye safari za raisi,ufisadi,ujangili na yanayofanana ba hayo,mimi ndio maana naona bora kutumia pesa nyingi kutibiwa private hospitals kuliko huko uchwara

Unafikiri sote tunaweza huko private mama?
 
VIFO VYA WAGONJWA katika hospitali zetu mbona jambo la kawaida? utetezi wa dr shy unaeleza wazi! hosp ma_dr wachache na waliopo hawakai hosp wapo kwenye miradi yao mpaka waitwe kwa simu, wodi ina nurse mmoja, ni mchana huo, nenda usiku nesi 1 wodi 3, c shy c kitete tbr, wodi zinanuka, vyo vichafu, kwa nje majengo mazuri, ndani yatisha, lakini c ndio maisha bora...
 
Kunamijitu hakyanani itakuwa michawi nawaambieni,eti kajitakia ku Wewe mshii nahis unafir nyamawewe
 
Ujauzito miezi sita uchungu unatokea wapi jamani???
ni mara yako ya kwanza kusikia hivyo?hata chini ya hapo mtu aweza pata uchungu na ndo zinaitwa abortion,kwa umri wa huyo mama na kubeba watoto wawili hilo ni tatizo tayari!uwezekano wa kufika term ulikua mdogo saaana!Muuguzi kuongea na simu wakati huo labda ni kweli alikua anaita daktari au amejitetea tuu hilo analijua yeye!Ninachokijua sasa hivi serikali ipo makini sana kufuatilia vifo vya watoto mara tuu baada ya mama kujifungua!au kifo cha mama akijifungua!amini usiamini wauguzi wengi wanaiogopa wadi ya kujifungua kwani huko ndo kuna lawama hata zingine zimetokea kwa mipango ya Mungu!kwa kumalizia ni kwamba hii haitabaki kama ilivyosemwa na daktari bingwa ila itachunguzwa zaidi na nurse akionekana alikiuka utaratibu ataadhibiwa kwa mujibu wa sheria
 
Umeniwai kumuuliza

nadhan mmni 'quote' vibaya! na ninawasiwasi na umakini wa uelewa wenu! mmenikumbusha kauli ya mh. sita kwa ana makinda kuwa asikurupuke! nanyi naona mmekurupuka! Me nachangia hoja ya Shinyanga na si kwingineko! kama uliwahi tendewa mabaya pole sana! lakini narndelea kusisitiza kuwa tukio la shinyanga ni matokeo ya wazaz wazembe wanaodai haki bila kutimiza wajibu wao! pia nasisitiza kuws ni kihere here cha mtoto mwenyewe! na wasipoacha umlaya utotoni wengi watarajie kufa! me nna watoto si mmoja! hawana kiherehere! tena wanamjuwa sana MUNGU! MUNGU aendelee kuwapa maarifa na ufahamu wa kumjuwa zaidi!
 
kwani wote wanaopata matatizo wakati wa uzazi wanakuwa na miaka 15?

dah haya maneno yameniuma maana nimepoteza mtoto wakati wa kujifungua kwa sababu ya hizo hizo dharau za manesi

hakuna watu washenzi,mbwa,mafedhuli km manesi waasiojuA majukumu yao
mimi ninaeongea hv mwanamke nimeshuhudiA with ma naked eyes labor mambo tunayofanyiwA watajikosha humu lakini yakishetani
nesi anakwambia kabisa nipe bas posho yangu
wajawazito mf dar wanadAnganya vifaa vya kujofungu bure ni uongo tunannua tena km huna ukienda jifungua unazalishwa wAkija ndg zako wanadai kuanzia elf25 hutoki hadi ulipe
ambulance mf uko wanakurefeer unalipia mafuta 20000hata km mko wawili
najua kuna mtakaobisha ila ukweli mtupu
 
umri wenyewe miaka 15. anatakiwa awe shule! via vya uzazi bado havijakomaa! kwa kiherehere chake anafanya ngono tena bila kinga! mwisho lawama mnamtwisha nurse! acheni kujitoa fahamu! kemeeni umalaya utotoni unaoendekezwa na wazazi wenye njaa! mnawatesa wahudumu wetu kwa ujinga wenu! hata Rais alishasema ni viherehere vyao!

Umalaya unakujaje hapo? hawa wauguzi wengine ni wapuuuuzi kuliko wapuuuuzi nashangaa hata kuitwa wauguzi(nurse)
wangeitwa killers tu ikaeleweka hawapo kwa ajili ya kuokoa bali kuangamiza.
Siku ikikutokea utajua kuwa hao ni akinanani, au we ni mojawao?
 
hakuna watu washenzi,mbwa,mafedhuli km manesi waasiojuA majukumu yao
mimi ninaeongea hv mwanamke nimeshuhudiA with ma naked eyes labor mambo tunayofanyiwA watajikosha humu lakini yakishetani
nesi anakwambia kabisa nipe bas posho yangu
wajawazito mf dar wanadAnganya vifaa vya kujofungu bure ni uongo tunannua tena km huna ukienda jifungua unazalishwa wAkija ndg zako wanadai kuanzia elf25 hutoki hadi ulipe
ambulance mf uko wanakurefeer unalipia mafuta 20000hata km mko wawili
najua kuna mtakaobisha ila ukweli mtupu
Mkuu humu kuna watu hawana familia kila siku wanaoa watajua wapi hayo? kiukweli hata mimi ni muhanga ilishatokea kwangu siku hiyo hata kama ningepata kijiko karibu kingegeuka kisu na kumkata mtu ila nashukuru Mungu aliepushia mbali.
Bora na wakunga wa jadi wanajali kuliko yaliyosomea kuua haya.
 
kwani wote wanaopata matatizo wakati wa uzazi wanakuwa na miaka 15?

dah haya maneno yameniuma maana nimepoteza mtoto wakati wa kujifungua kwa sababu ya hizo hizo dharau za manesi

Kuna binadamu wameletwa duniani kuwakwaza wenzao,msamehe hajui alinenalo.
 
nadhan mmni 'quote' vibaya! na ninawasiwasi na umakini wa uelewa wenu! mmenikumbusha kauli ya mh. sita kwa ana makinda kuwa asikurupuke! nanyi naona mmekurupuka! Me nachangia hoja ya Shinyanga na si kwingineko! kama uliwahi tendewa mabaya pole sana! lakini narndelea kusisitiza kuwa tukio la shinyanga ni matokeo ya wazaz wazembe wanaodai haki bila kutimiza wajibu wao! pia nasisitiza kuws ni kihere here cha mtoto mwenyewe! na wasipoacha umlaya utotoni wengi watarajie kufa! me nna watoto si mmoja! hawana kiherehere! tena wanamjuwa sana MUNGU! MUNGU aendelee kuwapa maarifa na ufahamu wa kumjuwa zaidi!

Acha u.f.ala wewe, kaa fanya utafiti wako ujue wengi wanaopata ujauzito ni kwasababu gani ndio uje kuhukumu hiyo kauli yako ya umalaya.
 
Inasikitisha sana. Huu ni ukatili kama inawezekana afukuzwe kazi na kupelekwa mahakanani iwe fundisho kwa wengine.

Kwa nini watu wanakuwa hawana hata chembe ya huruma na uhai wa wenzao. Kitakachoshangaza ni.kuwa hamna hatua yoyote ya kinidhamu itakayochukuliwa kuhusu huu ukatili.


Mpendwa Mwanawao, fuatilia vizuri maelezo ya Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga, Dkt. Fredrick Mlekwa, akizungumza kwa niaba ya Mganga Mkuu wa Mkoa alikanusha vifo vya mapacha hao kusababishwa na uzembe wa muuguzi na kwamba mimba hiyo ilikuwa haijatimiza muda wake wa miezi tisa hivyo kitaalam watoto hao wasingeweza kuishi kwa vile hawajakamilika. Dkt. Mlekwa aliendelea kufafanua kuwa pamoja na maelezo ya mzazi mwenyewe kukiri umri wa ujauzito wake (miezi sita) walichunguza miili ya watoto waliozaliwa na kuipima ambapo mmoja alikuwa na uzito wa gramu 500 na mwingine gramu 700, hivyo kitaalamu walikuwa hawajakamilika kuitwa binadamu."Binafsi baada ya kupata taarifa hizo nilikwenda katika wodi hiyo na tulipofuatilia tulibaini kuwa mimba ya mjamzito huyo ilikuwa haijafikisha umri wa kujifungua kwani ilikuwa na umri wa miezi sita... mzazi mwenyewe alikiri muda huo na kitaalamu isingekuwa rahisi kwa watoto hao kuishi," alifafanua Dkt. Mlekwa.
 
hakuna watu washenzi,mbwa,mafedhuli km manesi waasiojuA majukumu yao mimi ninaeongea hv mwanamke nimeshuhudiA with ma naked eyes labor mambo tunayofanyiwA watajikosha humu lakini yakishetaninesi anakwambia kabisa nipe bas posho yanguwajawazito mf dar wanadAnganya vifaa vya kujofungu bure ni uongo tunannua tena km huna ukienda jifungua unazalishwa wAkija ndg zako wanadai kuanzia elf25 hutoki hadi ulipeambulance mf uko wanakurefeer unalipia mafuta 20000hata km mko wawili najua kuna mtakaobisha ila ukweli mtupu
we acha tu hao watu ni wauaji kabisa, pamoja na yote hayo wala hakuna kujali wala niniwatu wabishe tu lakini hawa viumbe wanatutesa sana basi tu maana walinitendea ubaya hadi ndugu wakasema angalau uhai wangu umebaki japo mtoto nimemkosa nibaki kuuguza mshono tu ni wapuuzi tena washenzi, hali hiyo eti sisi tupo mjini sasa hao ndugu zetu wa vijijini sijui ndo inakuwaje
 
Back
Top Bottom