Muswada wa CYBER CRIMES: Kumbe Serikali ili-plagiarize (Copy & Paste)!!!

Muswada wa CYBER CRIMES: Kumbe Serikali ili-plagiarize (Copy & Paste)!!!

HNIC

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
1,898
Reaction score
2,200
04.MAKAMBA.jpg



Huko serikalini kuna wasomi wa kila namna na wote wanaopigia kampeni huu muswada kumbe waliuiba au PLAGIARIZE bila kuweka sources zao.

Hebus soma kipengele hiki:

CBZvJX8UkAArL3_.jpg:large



Serikali ya Tanzania na wizara husika ziliiba huu muswada toka hapa:


http://www.cyberdialogue.ca/wp-content/uploads/2011/03/ITU-Toolkit-for-Cybercrime-Legislation.pdf


Kweli nchi hii ni ya kufikirika. Na viongozi wetu hawana maana hata kidogo wao wanataka kupiga marufuku na kutufunga kwa miaka mitatu kwa kupost vtu from the internetet na wao muswada wao unapingana na mambo haya haya
 
Duh tungekuwa tuna Copy na Paste vitu positive ingekuwa safi sana. Nyerere alisema igeni mazuri. Inaelekea tuna ugonjwa wa kuiga mabaya tu.
 
Kucopiwa kwa sheria neno kwa neno, sio plagiarism, hii kisheria inaitwa 'para materiale', sheria zetu zote za Tanzania enzi za ukoloni nimecopiwa para materiale kutoka sheria za India, ambazo ni pari materiale kwa nchi zote barani Afrika zilizotawaliwa na mkoloni Muingereza.

Paskali
 
nji ina viongozi wavivu mpaka kufikiri.
 
internet hiyo hiyo wameitegemea kwa kucopy na kupaste sasa hapa kuna bila kufanya uchunguzi wa kina swala si kubana social kama tupo dunia ya kipee kinachotakiwa ni raia kuelimishwa faida na matumizi sahihi ya internet tusibaki tena nyuma kwa mara ya pili kwa kuiga mambo ambayo hatuna alternative wanaofanya ivi wao wanazo altenetive hadi simu zao kwa ajili ya jamii zao kama wa china wanavyo vyakwao sisi je?
 
Duh! Japo ku copy si mbaya. Lakini wedi to wedi!!! Haikubaliki
 
Kwa hiyo hata Serikali inafanya Plagiarism? pia ukiangalia huu wamebadilisha maeneo ya kuweka adhabu kuwa ni miaka mingapi.

Sasa huyu mwanasheria aliyeupitia huu mswada alikuwa amelewa au vipi?
 
Km naibu waziri alikwapua mtihani, O level, wala sishangai
 
Kucopiwa kwa sheria neno kwa neno, sio plagiarism, hii kisheria inaitwa 'para materiale', sheria zetu zote za Tanzania enzi za ukoloni nimecopiwa para materiale kutoka sheria za India, ambazo ni para materiale kwa nchi zote barani Afrika zilizotawaliwa na mkoloni Muingereza.

Pasco

Without acknowledging?
 
alishawahi iba mitihani galanos kwake kukopi ni kitu kidogo sana
 
Hiyo wala sio kosa, hata ukiangalia Penal code ya Tz na ya India zinafanana kila kitu isipokuwa sections but contents ni zile zile
 
I am not even getting to the plagiarism part yet.

Hicho kipengele kilichopigiwa rangi nyekundu kikifuatiliwa kitaifunga serikali nzima, kwa sababu kila mwaka bajeti zao zimejaa figures za uongo.

I should know, nimeona bajeti zinavyoandaliwa.

Tangu enzi za Profesa Malima.
 
Rwanda wame-copy miswada mingi sana kutoka bongo, sio issue..
 
Ndugu yang ulitegemea kaka yake Mwanvita atakuja na kazi yake binafsi bila kudesa?
 
Mkuu umesema kweli tupu, bahati mbaya sana wanasheria wetu hawana uwezo wa kuishitaki serikali iliyoko madarakani!!! Ukweli ni kuwa budget zote za serikali ni feki, projection zote za serikali kwenye uchumi ni uongo mtupu... Data za Mfumuko wa bei i.e inflation ni takwimu za uongo kwa maslahi ya IMF na WB .... Itikadi ya CCM ni uongo mtupu !!! Ilani ya CCM haikupaswa kuchapishwa mitandaoni kwani ni uongo na wanastahili kifungo!!! ZZK kujiita mjamaa wakati anajulikana ni kuwadi number one alistahili kufungwa ...

I am not even getting to the plagiarism part yet.

Hicho kipengele kilichopigiwa rangi nyekundu kikifuatiliwa kitaifunga serikali nzima, kwa sababu kila mwaka bajeti zao zimejaa figures za uongo.

I should know, nimeona bajeti zinavyoandaliwa.
 
Retweeted mange
kimambi (@
mangekimambi):
Blogs zinammaliza @
BarackObama kila siku na
hazifungwi. Ila nyie
madictator wa TZ
msiguswe mmekuwa nani?
JMakamba @
JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom