Muswada kurudishwa bungeni

Muswada kurudishwa bungeni

They should learn to respect the so called ordinary people of this country
 
Source pliz..

kikao ambacho kimekalijana kilikuwa kikao cha siri ambacho kilishirikisha baadhi wa wabunge wa ccm kutoka unguja na baadhi ya walio shindwa kwenye uchaguzi wa 2010 kutoka pemba. Na ndio wameishauri kamati maalumu ya kumshauri rais juu ya hili.
 
wabunge warudishe posho walizolipwa kwa upuuzi huu wa kupitisha kibabe huo mswada hata hivyo habari haina source hivyo liwalo na liwe.
 
Wasira unayaona hayo? Usichezee nguvu ya umma! Aibu kwa wabunge wa CCM.
 
naamini Kikwete atakua msikivu juu ya hili,kwani katiba ni yetu wote ni muhimu watu wote tukubaliane na utaratibu utakaotumika kupata katiba hiyo
 
Inawezekana huu ndio mtindo mpya wa kutunga sheria sasa unaofanywa na Bunge; huu utakuwa mswada wa ngapi wa sheria kulazimishwa kurudishwa Bungeni kabla hata haujaanza kutumika?
 
Wapuuz ndo watajua kuwa wapinzani wako vema. Hongera muungano wa vyama vya upinzani. Fanyen hvyo hata uchaguz mkuu
 
Wapinzani inabidi wasikilizwe, suala la katiba sio la kuamuliwa na chama kimoja.

Katiba ni kwa ajili ya watanzania wote

Mkuu now you are talking. Katiba sio jambo dogo la kuamuliwa na chama kimoja au kikundi fulani kwa maslahi yao.

Together we can, let's go to build the future of our child and grandchild.
 
Back
Top Bottom