Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,229
- 4,715
wewe punga la ccm toka lini hilo lichama lako likawa na agenda kama umeme na maji hakuna miaka zaid ya 60 toka uhuru ccm ni chama au matapishi ambayo hata mbwa koko hawez kuyala.Kasema ukweli kabisa. Baada ya kushindwa hawa vipusa vya wapinzani vikaja na agenda ya sukuma gang. Ki ukweli hakuna sukuma gang