PreGE2025 Mussa Zungu: Rais Samia amejivua mamlaka ya kupendekeza Mwenyekiti wa Tume, amewarudisha Wapinzani wote waliokimbia Nchi

PreGE2025 Mussa Zungu: Rais Samia amejivua mamlaka ya kupendekeza Mwenyekiti wa Tume, amewarudisha Wapinzani wote waliokimbia Nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu akiongea na wananchi wa Dar es Salaam katika Hagla ya uzinduzi wa soko la Nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vingunguti jijini hapo amesema:

"Rais Samia amejivua mamlaka ya kupendekeza Mwenyekiti wa Tume, hayo yatafanywa na Kamati Maalumu" na kusisitiza kuwa "hilo ni jambo kubwa sana ambalo Rais amelifanya"

Ameongeza pia; "Rais Samia amewarudisha na kuwakaribisha Wapinzani wote waliokimbia Nchi kwa kuogopa ili warudi wajenge Taifa pamoja, niwaombe sana Wapinzani, ndugu zetu ambao tulikuwa nao Bungeni wao wanajua hakuna Uchaguzi mgumu kama wa 2015 wakati Tume haikuwa na maboresho kama hii mpya"

"Wapinzani waliingia Bungeni 112, CHADEMA 69, CUF 41, NCCR Mageuzi 1 na ACT Wazalendo 1"

 
Anadhani kwa kajuli hiyo "No reforms No election" itasimama?
Au anadhani watu wataamini wakati Balozi Mapuri bado anapumulia kwenye jopo la tume?
 
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu akiongea na wananchi wa Dar es Salaam katika Hagla ya uzinduzi wa soko la Nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vingunguti jijini hapo amesema:

"Rais Samia amejivua mamlaka ya kupendekeza Mwenyekiti wa Tume, hayo yatafanywa na Kamati Maalumu" na kusisitiza kuwa "hilo ni jambo kubwa sana ambalo Rais amelifanya"

Ameongeza pia; "Rais Samia amewarudisha na kuwakaribisha Wapinzani wote waliokimbia Nchi kwa kuogopa ili warudi wajenge Taifa pamoja, niwaombe sana Wapinzani, ndugu zetu ambao tulikuwa nao Bungeni wao wanajua hakuna Uchaguzi mgumu kama wa 2015 wakati Tume haikuwa na maboresho kama hii mpya"

Mwenyekiti wa sasa wa Tume Jaji Mwambegele ameteuliwa na nani?

Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Ramadhan Kailima ameteuliwa na nani?

Makamishna wa sasa wa Tume akiwemo Jaji Hasina na kada mwandamizi wa Chama cha Mapinduzi Omar Ramadhan Mapuri wameteuliwa na nani?

Mwambie Zungu sisi sio mafala kama anavyodhani.
 
Utapeli mtupu anaongea Naibu Spika ndugu Zungu mbunge wa CCM jimbo la Ilala.

Tulidhani ni wasukuma wa Kwimba Mwanza ndiyo wanaweza kudanganywa na CHAUMMA kumbe hata wa Dar es Salaam wanadanganywa mchana kweupe kuhusu tume ya Uchaguzi INEC
1748086770783.jpeg
 
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu akiongea na wananchi wa Dar es Salaam katika Hagla ya uzinduzi wa soko la Nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vingunguti jijini hapo amesema:

"Rais Samia amejivua mamlaka ya kupendekeza Mwenyekiti wa Tume, hayo yatafanywa na Kamati Maalumu" na kusisitiza kuwa "hilo ni jambo kubwa sana ambalo Rais amelifanya"

Ameongeza pia; "Rais Samia amewarudisha na kuwakaribisha Wapinzani wote waliokimbia Nchi kwa kuogopa ili warudi wajenge Taifa pamoja, niwaombe sana Wapinzani, ndugu zetu ambao tulikuwa nao Bungeni wao wanajua hakuna Uchaguzi mgumu kama wa 2015 wakati Tume haikuwa na maboresho kama hii mpya"

"Wapinzani waliingia Bungeni 112, CHADEMA 69, CUF 41, NCCR Mageuzi 1 na ACT Wazalendo 1"

Huyu ndiye Chawa mkuu wa Taifa

Wazee wazeeka hovyo!!
 
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu akiongea na wananchi wa Dar es Salaam katika Hagla ya uzinduzi wa soko la Nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vingunguti jijini hapo amesema:

"Rais Samia amejivua mamlaka ya kupendekeza Mwenyekiti wa Tume, hayo yatafanywa na Kamati Maalumu" na kusisitiza kuwa "hilo ni jambo kubwa sana ambalo Rais amelifanya"

Ameongeza pia; "Rais Samia amewarudisha na kuwakaribisha Wapinzani wote waliokimbia Nchi kwa kuogopa ili warudi wajenge Taifa pamoja, niwaombe sana Wapinzani, ndugu zetu ambao tulikuwa nao Bungeni wao wanajua hakuna Uchaguzi mgumu kama wa 2015 wakati Tume haikuwa na maboresho kama hii mpya"

"Wapinzani waliingia Bungeni 112, CHADEMA 69, CUF 41, NCCR Mageuzi 1 na ACT Wazalendo 1"

Huyu boya anatuonaje?
 
Ambacho hajasema ni kuwa Lowasa alimgaragaza JPM mapema tu mwaka 2015. Kungekuwa na tume huru CCM ilikuwa byebye
 
Watu wa Ilala wanafikiria wao ni wajanja sana kwa sababu Ikulu ya magogoni ipo ilala....
 
Back
Top Bottom