Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu akiongea na wananchi wa Dar es Salaam katika Hagla ya uzinduzi wa soko la Nyama choma la Kumbilamoto lililopo Vingunguti jijini hapo amesema:
"Rais Samia amejivua mamlaka ya kupendekeza Mwenyekiti wa Tume, hayo yatafanywa na Kamati Maalumu" na kusisitiza kuwa "hilo ni jambo kubwa sana ambalo Rais amelifanya"
Ameongeza pia; "Rais Samia amewarudisha na kuwakaribisha Wapinzani wote waliokimbia Nchi kwa kuogopa ili warudi wajenge Taifa pamoja, niwaombe sana Wapinzani, ndugu zetu ambao tulikuwa nao Bungeni wao wanajua hakuna Uchaguzi mgumu kama wa 2015 wakati Tume haikuwa na maboresho kama hii mpya"
"Wapinzani waliingia Bungeni 112, CHADEMA 69, CUF 41, NCCR Mageuzi 1 na ACT Wazalendo 1"
"Rais Samia amejivua mamlaka ya kupendekeza Mwenyekiti wa Tume, hayo yatafanywa na Kamati Maalumu" na kusisitiza kuwa "hilo ni jambo kubwa sana ambalo Rais amelifanya"
Ameongeza pia; "Rais Samia amewarudisha na kuwakaribisha Wapinzani wote waliokimbia Nchi kwa kuogopa ili warudi wajenge Taifa pamoja, niwaombe sana Wapinzani, ndugu zetu ambao tulikuwa nao Bungeni wao wanajua hakuna Uchaguzi mgumu kama wa 2015 wakati Tume haikuwa na maboresho kama hii mpya"
"Wapinzani waliingia Bungeni 112, CHADEMA 69, CUF 41, NCCR Mageuzi 1 na ACT Wazalendo 1"