Daah Mussa Hussein Mwana DSM kaniuma kinyama kuondoka na kumleta Mwijaku,,Leo tena zilizokiki na Jose Mara siskilizi tena Kumormake,maana Mussa alikua anajua sana kujenga hoja na kuchombeza pia hasa mada za kisiasa,,Perfecto ata aende tu kwanza bado mzito mdomoni,On point kapokonywa na Msanuaji hana chake