Marwa Chacha
Senior Member
- Feb 5, 2015
- 102
- 51
Ni mwaka sasa sisi wakazi wa Musoma Mjini hatujaona muendelezo wowote wa maendeleo chini ya utawala wa CCM. 2020 tunaweza kufanya mabadiliko kumrudisha Vincent Nyerere madarakani.
Kwa miaka mitano aliyoshika madaraka hapa tuliona mengi mazuri aliyofanya. 2020 hatutafanya makosa tena.
Kwa miaka mitano aliyoshika madaraka hapa tuliona mengi mazuri aliyofanya. 2020 hatutafanya makosa tena.