Muarabu mmoja alikuwa napita sehemu fulani saa mbili usiku, akawaona watoto wanapenyeza vidole vyao baina ya shata na frame ya mlango wa nyumba yao,yule mwarabu akawakataza wale watoto kwa kuwaambia ''MUSICHEZEE MLANGO TOMBANE KUCHA."Akiwa na maana kwamba wasichezee mlango utawabana (kucha) vidole.