Akizungumza na wanahabari Julai 31, 2025 Kada wa Chama cha Mapinduzi Cyprian Musiba ameeleza kuwa mchakato wa kuchagua watia nia ubunge unafanywa hasa kwa kujuana ndani ya chama hicho akidai ili uchaguliwe ni lazima uwe unajuana na mtu au uwe mtoto wa waziri ndipo uchaguliwe
Pia amehusia baadhi ya viongozi kuchaguliwa bila kupingwa na baadhi ya viogozi kushikilia madaraka kwa muda mrefu
Pia amehusia baadhi ya viongozi kuchaguliwa bila kupingwa na baadhi ya viogozi kushikilia madaraka kwa muda mrefu