kagamba kadogo
Senior Member
- Apr 24, 2011
- 178
- 13
nimeona kwenye TV kama vile kulikuwa na waandishi maarufu kwenye conference ya CCM kama vike kibanda, balile, mapinduzi, mkumbwa, kingoba, mhagale, na wengine wengi....kamshiko hakajatembea kweli!!!!!!