Tumebakia sisi tu.
Dawa ni kubana kila kona
Kwani huku hakuna wanaharakati...? Mwanaharakati Musiba huja muona?Hao wanaharakati wangekuja na huku
Ndio... Labda kama swali lako huja elewa namna ya kuuliza...Mama yako akimpiga mkeo unaweza kwenda kumshitaki?
Walianza wakenya mpaka sasa serilikali ya kenya ina nidhamu baada ya kina uhuru na Luto kupelekwa. Inagawa waliokoka kwa mbinde na rushwa kubwa kulipa mashahidi kujitoa kwenye mchakato ile hali iliwashtua sana. Sasa kenya ni nchi nzuri kuliko yoyote EATumebakia sisi tu.
Basi msiba ni mwanaharakatiNdio... Labda kama swali lako huja elewa namna ya kuuliza...
Walianza wakenya mpaka sasa serikibya kenya ina nidhamu baada ya kina uhuru na Luto kupelekwa. Inagawa waliokoka kwa mbinde na rushwa kubwa kulipa mashahidi kujitoa kwenye mchakato ile hali iliwashtua sana. Sasa kenya ni nchi nzuri kuliko yoyote EA
Kwani huku hakuna wanaharakati...? Mwanaharakati Musiba huja muona?
Huo ndio ukweli na inapig hatua kasi kubwa kimaendeleo hawana porojo za flyover 5yrs same song
Wao ni vitendo na kwa sasa paka anakula sahani moja na panya na maisha yanasonga na BBI yaoHuo ndio ukweli na inapig hatua kasi kubwa kimaendeleo hawana porojo za flyover 5yrs same song