Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,173
- 3,896
Museveni ni mtu makini inapokuja issue ya Tanzania ya Nyerere. Hana sababu ya kudanganya lolote maana hapotezi kitu.Nimemsikia Rais wa Uganda Ndugu Mseven akiwataja kama Marais wengine watatu pamoja na Nyerere akiwashukuru kwa vita ya ukombozi ya kumng'oa Idd Amin.
Hii ni tofauti na ambavyo tumekuwa tukiaminishwa kuwa Tanzania pekee ndiyo iliyomng'oa nduli.
Sasa ninawekea mashaka vitabu vyetu vya historia. Je huu ndio ukweli?