Museveni na Kagame lazima waondoke ili eneo la Africa mashariki na kati, kupata amani na utulivu wa kudumu hao wawili ndo "centre of conflicts" in the region.......agenda kuu kwenye kikao chochote iwe lini wananyatuka.Kufuatia mbinyo mkali wa wapinzani mataifa makubwa nchini uganda kumemfanya rais Museni kukubali kukaa meza moja na wapinzani kuamua jinsi ya kuitawala Uganda.
Museveni na Kagame lazima waondoke ili eneo la Africa mashariki na kati, kupata amani na utulivu wa kudumu hao wawili ndo "centre of conflicts" in the region.......agenda kuu kwenye kikao chochote iwe lini wananyatuka.
Hao watu ni mtu na mdogo wake "small evil and big evils all are evils" Tabia zao chimbuko lao na malengo yao ni yale yale.Hasa Kagame ndiye balaa kabisa maana kila kona anaijua
Kwa jinsi Magufuli alivyo panic leo kwa hoja ya dakika 2 tu ya Mnyika, nimeelewa kwa nini watawala wengi wanaogopa siasa za ushindani!
Maana imebidi wote waliosimama, Ndungayi, Makonda, Waitara na waziri wa ujenzi watetee kuokoa jahazi.
Nahisi Mheshimiwa hatapata usingizi vizuri leo!
Wataondolewa na nani?Museveni na Kagame lazima waondoke ili eneo la Africa mashariki na kati, kupata amani na utulivu wa kudumu hao wawili ndo "centre of conflicts" in the region.......agenda kuu kwenye kikao chochote iwe lini wananyatuka.
Mayala kikwetu ni njaa-Magu.' hadi leo hii siijui, sababu ya mtu kukopa hela ya mtu na tabasamu la bashasha ila wkt wa kurudisha anageuka mbogo kumzidi hadi aliyemsaidia'
Uganda upinzani chini ya Besigye na Bobie wanamvuruga sana m7
Waganda wana uwezo wakumondoa Museven mda wowote zaidi ya 70% hawamtaki, anatumia nguvu nyingi kuendelea kutawala hiyo nchi.....lakini siku zake zina hesabika, watamondoa tu.Wataondolewa na nani?
Hilo ndio swali.