Museven kunyonga mashoga nawasagaji

Museven kunyonga mashoga nawasagaji

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,878
Rais wa uganda
amekubali kusain muswada utakaowafunga mashoga na wasagaji na kuweka vifungo ikiwemo kufunga maisha

ahsante presidaa uchafu huu usiwepo tena
 
Angalau yeye kaonesha msimamo, kuna watu hata Obama akiwashika makalio watafurahia na kuja kutuambia Obama kanipiga kibao cha makalioni.
 
^^
Safi sana Kiongozi unaelinda maadili sawa sawa nafasi inavyokuruhusu
^^
 
Itakua vyema teena wote wawili watakao kutwa n vtendo hvyo.....! KIKWETE pia amfate m7 japo obama anatoa macho.....
 
At least he is thinking about this one a little. It is more than some leaders in the area do. Many just sign $hi+ into law like it's nothing.
 
Raisi Mugabe aliwaambia Waingereze kuwa Mbwa ni bora kuliko hawa mashoga.

Wamepenyeza Tanzania na ni uchafu mtupu. Zipo Pub Dar kama Kyu Bar na Sama"" Mlimani City ndio Kona za mashoga.

Hapa Iringa mafuta yao yanauzwa waziwazi madukani.


Kwetu wazee walikuwa wakiwakamata wanabamiza nyeti zao kwenye magogo na kuwaacha mazezeta au goigoi maishani
 
Museven naomba utawle maisha uganda, ccm siku wakija kua m7 ntahamia uko,.
 
du kweli mseveni jembe co siri vp yule bwabwa wa bagamoyo anaweza kuwa na msimamo kama huo kweli czan maana yule ye mwenyewe nahsi kamuchezo kake big up mseveni
 
Mtakuja kusikia kitakachomkuta. Hatuyapendi haya mambo lakini walioyashikia kidedea ndiyo hao mabosi wa dunia. But hongera kwake kwa kuonesha msimamo utakaodumu kwa muda.
 
hongera museveni hili jinamizi lipigwe marufuku afrika hatuwezi kuendekeza tabia za kishenzi dawa ni kunyonga tu hawa western wanataka kuwafundisha watoto wetu ushenzi. haikubaliki
 
hongera museveni hili jinamizi lipigwe marufuku afrika hatuwezi kuendekeza tabia za kishenzi dawa ni kunyonga tu hawa western wanataka kuwafundisha watoto wetu ushenzi. haikubaliki

Jangili anae angamiza faru na tembo ni m baya zaidi kuliko bwabwa. japo sitetei machele lkn tungeanza na majangili na wauza sembe ndio tuje kwenye machele
 
Back
Top Bottom